me sielewi kabisa serikali ivi mbona wanakua kigeugeu sana na vp kuhusu project ya BRN na kwa kufanya hivo hawaoni kama ni kupteza muda mana kama F2 mtoto kashindwa kuvusha wastani sasa ukimpa mzigo huo wa two in one wataweza na je hiyo remidial class hao walimu wanafundisha nje ya muda wa...
sasa hao wachina huo msaada wao sidhani kama wametupa bure billions of money without getting anything dah madini na hzo ndovu za tembo wetu znahusika saaaana apo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.