yaani wewe hata dar es salaam ilipoishia ujui kazi kuropoka tu kama tobo lissu
Polisi wote wale wale tu ni mizigo wakiongozwa na mzigo namba moja kova.....baba muongo yuleee ptyuuuuuuuuuu!!!koma we hili sio eneo la Kova.
Baadhi ya hawa jamaa huenda watatusaidia sana huko mbeleni maana ndani yao kuna wasioridhika na hali iliyopo pia.
nani alipingwa mkuu?traffic au askari wa kawaida?
Kova anaona wenyeviti waliojiteka kuisingiza chadema tu ila hawa wala rushwaa..aah!!macho yake yanaangalia kwingine...
Kova anaona wenyeviti waliojiteka kuisingiza chadema tu ila hawa wala rushwaa..aah!!macho yake yanaangalia kwingine...
uchochezi kama wa dokta slaa
Acha ungese wewe,samaki mmoja akioza wote wamechina kama gesi ra polisi la kova na masisiem yenu na miwaziri mizigo....
Ma constable wa polisi wanajenga majumba na kununua magari kwa sababu ya hiyo check point ya mizani ya Kibaha. Na kwa jinsi rushwa inavyotembea hapo ndio maana unaona askari wa kawaida anaamua kwenda kutega hapo ili angalau ajipatie chochote na huyu wa traffic akaona kuwa mapato yake yatapungua.
unapojitahidi kulinda uovu na dhambi kwa kirungu ujiangalie kwenye kioo maadili ya kazi kitengo cha trafiki ni sifuri wananuka rushwa sio kibaha tu ni tanzania nzima zinahitajika juhudi za ziada na uthubutu kurejesha nidhamu iliyoppoteayaani wewe hata dar es salaam ilipoishia ujui kazi kuropoka tu kama tobo lissu
Askari wawili wa jeshi la polisi jana usiku walipigana ngumi hadharani wakiwa eneo la kazi ktk eneo la mzani Kibaha.
Chanzo cha ugomvi inasemekana ni askari Trafic mwenye cheo cha Coplo kudai ameingiliwa majukumu yake na Oaskari wa kawaida aliekuepo eneo hilo kwa kulikomalia gari lililozidisha mzigo lazima lipitie ktk mizani kitendo ambacho kilimkera coplo huyo na kuanza kumpiga askari mwenzie.