... huu upuuzi wa mwanamke kujua umempenda kupitiliza wanaume inabidi tuuache, jamaa anaonesha hakuwa anajiamini kwa huyo mwanamke na mwanamke alijua wazi kutojiamini kwake na hakuwa na uwezo wa kuja kuachwa kitu ambacho mwanamke akijua ni sumu mbaya sana kwenye mahusiano sababu atakuwa...
...mkiambiwa ukiolewa hadi uhuru wako binafsi unakuwa sio mali yako hamsikii, sisi updates za matokeo ya viburi vyenu kwa waume zenu tutakuwa tunazipata hapa.!
... wiki nayo ni mbali sana sababu tokea siku ya kwanza naomba vitu vyangu ushajua akilini mwako kuwa hutatoa au hutoi sasa ya nini kuzidi kupotezeana muda.
.... mijanamke ya hivi ndo ile unakuta ikikuvulia utadhani panya kavunda kwa hiyo inajijua kabisa ikikupa mali utakata umeme. Binafsi yangu mwanamke akizungusha wiki hatoi naachana naye nakata umeme kila kitu naendelea na mambo mengine halafu siku za mbele huwa anakuja kunitafuta mwenyewe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.