Sir Carter
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 631
- 1,417
Kama warranty card bado iko valid ipeleke Hisense au rudisha kwenye duka ulilonunulia wenyewe wanajua wanachotakiwa kufanya.kuna fundi unaweza nisaidia kunitengenezea au na ww mwenyewe ni fund?
Tatizo limeshawahi kutukuta home niliirudisha dukani wenyewe wakaipeleka huko ilituchukua wiki lakini tuliipata ikiwa bora vile vile.
