Recent content by zejono

  1. Z

    Mashine za kukata tiketi na risiti

    Kwa mwenye kuweza kunitafutia au kuniambia ni sehemu gani zinauzwa hizi mashine ya kukata tiketi na na risiti pls aniambie kupitia uzi huu
  2. Z

    Msaada jinsi ya kuwa wakala wa M-Pesa,Tigo pesa na Airtel money

    Uzi huu unamda kidogo lakin hakuna comment hata moja inamaana wanajamvi hakuna ata mmoja mwenye experience kuhusu hili?
  3. Z

    Offer: Desktop computer zenye specifications kubwa zinauzwa bei nafuu

    Naona post kidogo ni ya mda Vp bado huo mzgo upo mpaka Leo?? Ni uhitaji mimi
  4. Z

    Offer: Desktop computer zenye specifications kubwa zinauzwa bei nafuu

    Naona post kidogo ni mda Vp bado huo mzgo upo mpaka Leo?? Ni uhitaji mimi
  5. Z

    Naomba kusaidiwa kuhusu tecno boom J5

    Nina simu yangu tecno boom J5 tangu nmenunua mpaka sasa sjawahi kuona mtandao wa internet ukisoma H+ Unaishia 3G tu sasa sjui tatzo nini Nmeshawahi kuuliza kwa watu wanaotumi aina hi ya simu lakin tatzo ni hilo hilo Msaada wenu pls
  6. Z

    Kanikataa, je nimchomee kuwa ana vyeti feki?

    Tena ikiwezekana nenda saiv akafie mbali huyo
  7. Z

    Polisi wavamia Tallying Center ya UKAWA na kuizima

    kitaeleweka tu hata kama wakifanya husda zao
  8. Z

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    sawa mkuu nmekupata vilvo na asante kwa ushauri wako
Back
Top Bottom