Recent content by zeebaba

  1. zeebaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uchepukaji makini

    Noma sana
  2. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Kazi: Msimamizi wa Ofisi - Moshi Kilimanjaro

    Kwamba vigezo na masharti kuzingatiwa hivi B ya hesabu inaonekana kitu rahisi sana eeh, kazi za kawaida hizo hata fomu 4 anatosha kuzifanya tu. mshahara wa 300K kwa kweli mtakuwa mnamkandamiza
  3. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Wavuvi Kempu kufungwa Januari 23, 2023

    Kalito ashakuwa mswahili ile ilikuwa ni PR stunt tu tarehe 24 wanaendelea kama kawaida washatoa tangazo
  4. zeebaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa klabu si wakuwaamini kabisa

    Sheria namba moja usilale kwa mwanamke hata siku moja, fear women bro! Kuna wengine wako maofisini kabisa wana maisha mazuri lakini wanaume ndio wana walipia kodi, unaweza kuta anatembe na mume wa mtu uwa anaibuka mara moja moja anapiga mzigo ndio anaenda kwake. Usijaribu kabisa kulala kwa...
  5. zeebaba

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukichunguza kwa umakini mwanamke ndio mnufaika Namba moja wa ndoa

    Na ndio ukweli wenyewe hata uoe kwa matajiri bado manyanyaso ya kisaikolojia yatakuandama tu kwa sababu hauprovide chochote!! Lakini kiuhalisia mnufaika zaidi wa ndoa ni mwanamke, mwanaume ukishaoa unakuwa unahudumia familia 3 ya kwako, nyumbani kwenu pamoja na ukweni kwako! ndio maana kuna...
  6. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Usipate unyonge njoo nikupe connection hiyo line usiitupe
  7. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Ninazo hizi Mwl kama kuna mtu anahitaji akutumie wewe pesa kwanza then anaungwa halafu wewe ndio una release pesa baada ya kuwa ashapata.
  8. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

    Hatari sana! si mchezo
  9. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Ni siku gani kubeti kulitaka kukutoa uhai?

    Poleni sana wa kamaria betting sio kitu rahisi cha msingi usicheze kwa tamaa sana, then ukipata faida itoe kabisa kapeleke bank huko iwe akiba yako au kaongeze kwenye mtaji wako! Option mbaya kuliko zote ni direct wine tena wakati mwingine inakuwa na odds kubwa lazima ikuvutie sana, pia kizuri...
  10. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

    Hakuna mteja msumbufu, kumbuka unataka pesa yake naye pia anataka kujilizisha! nishanunua online kuna kipindj unakuwa unasita fikiria bidhaa ya million unadhani hautakuwa na maswali mengi,? lkn sasa hapo mtoa huduma ndio anapokuona msumbufu!
  11. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Anne Makinda awataka vijana kujitafutia ajira

    Umenena vema kabisa!
  12. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Nauza Hisa za Vodacom, Kila moja nauza 500/=

    Mwaka huu pia hakuna gawio kwa wana hisa, bado kampuni haitegenezi faida [emoji2][emoji2][emoji2] na hisa zinazidi kuporomoka sokoni!
  13. zeebaba

    JamiiForums Tanzania SoC02 Kodi nyingi ndani ya taifa bila malengo maalum ni chanzo cha umaskini

    hongera kwa mjadala mzuri, nimelike unasema kialama cha kuvote mbona sijakiona
  14. zeebaba

    JamiiForums Tanzania SoC02 Tabasamu na Mwalimu

    Andiko bora kabisa linalotoa moyo na faraja kwa walimu. Uzidi kubarikiwa.
  15. zeebaba

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Generation Z mna matatizo sana, me nimetoa ushauri maana kata aliyopangiwa iko jirani kwa wanaojua shule ya Majengo secondary ofisi ya kata ilipo na Kwa Mtei wanajua ukaribu huo! me nimetoa ushauri sasa we unaanza kuleta habari za sijui nisubiri Dar au Moro!
Back
Top Bottom