Wanawake wa klabu si wakuwaamini kabisa

Wanawake wa klabu si wakuwaamini kabisa

Mathias Emma

Member
Joined
May 31, 2017
Posts
34
Reaction score
72
Kuna siku Niko club ya usiku nacheza macho yangu yakaangukia kwa mdada flanj hivi alikuwa beautiful kweli Sasa katika kumchombeza akawa amekubali bwana akanieleza yeye anaishi pekee yake kwake khy nijaribu na hapo club twende tu.

Basi bila hat kuwaza na huku mamb si mambo tugaongozana tukafika kwakuwa alikuwa amelewa kiasi akajitupa kweny sofa moja TU ambalo lililokuweno ndani chumba chake Sasa wakati na mgusagusa c ndo tukasikia mlango unagongwa dah nilihaha

Sana akanieleza ww nijifanye ni kaka yake nimekuja kumsalimia nasoma chuo, bwanaaaa akanipa shuka nikalala pale kweny Kochi akaingia akanikuta akamuuliza Nani huyu? Akajibu "Ni kaka yangu amekuja kunisalimia ametoka chuo."

Jamaa akaingia chumbani kuanza kula vitu, sasa mm Niko nasikilizia sebleni, dah! Asubui ilipofika nikaaga kuondoka, jamaa akasema chukua hela ya nauli hii hap! Sikuamini Kam nimetoka salama.
 
Sheria namba moja usilale kwa mwanamke hata siku moja, fear women bro! Kuna wengine wako maofisini kabisa wana maisha mazuri lakini wanaume ndio wana walipia kodi, unaweza kuta anatembe na mume wa mtu uwa anaibuka mara moja moja anapiga mzigo ndio anaenda kwake. Usijaribu kabisa kulala kwa mwanamke hata akikubembeleza vipi wanashawishi sana ukipiga hesabu ya kukwepa gharama ila unaweza jikuta ndio unaingia gharama kubwa katika maisha yako na kujuta juu. Unaweza jikuta unapoteza maisha hivi hivi kisa nyege za muda mfupi.
 
Hukupiga 3some? Au jamaa alikuwa mbavu? Yaan unaenda kulala kwa Malaya? Kwa Mantiki hii huyo demu alikuwa anahitaji Mlinzi tu wa kumsindikiza home, ukisema jamaa yake si kweli, huwezi mwacha mwanamke wako aende Club bila wewe kuwepo. Huyo jamaa ni Muhuni tu kama mimi. Demu wa Club unamuinamisha tu kichochoroni km huna pesa ya Lodge, Tumeelewana Mkuu?
 
Songea kuna manzi nilimchota pale la Charz, alikua bonge la pini alileta shobo mwenyewe tukala vyombo. Mida ya saa nane usiku akaomba twende kwake nikamle.

Basi mzee baba nikawasha chuma fasta mpaka getto kwa binti. Nakuta ana bonge la flat screen hisense inch 55, sofa kali, bonge la kitanda, getto limekamilika makolokolo kibao. Demu mwenyewe kazi hana zaidi ya kushinda bar kugongea bia. Nikajua hapa kuna sponsor anagharamia tu nisije badilishwa jina nikaitwa mpakwa mafuta.

Nikamwambia mama twende lodge tu nikasingizia usalama wa usafiri wangu maana hakukua na parking!

Haijalishi upo mazingira gani na una nyege kiasi gani USILALE KWA MWANAMKE!
 
Kuna siku Niko club ya usiku nacheza macho yangu yakaangukia kwa mdada flanj hivi alikuwa beautiful kweli Sasa katika kumchombeza akawa amekubali bwana akanieleza yeye anaishi pekee yake kwake khy nijaribu na hapo club twende tu.

Basi bila hat kuwaza na huku mamb si mambo tugaongozana tukafika kwakuwa alikuwa amelewa kiasi akajitupa kweny sofa moja TU ambalo lililokuweno ndani chumba chake Sasa wakati na mgusagusa c ndo tukasikia mlango unagongwa dah nilihaha

Sana akanieleza ww nijifanye ni kaka yake nimekuja kumsalimia nasoma chuo, bwanaaaa akanipa shuka nikalala pale kweny Kochi akaingia akanikuta akamuuliza Nani huyu? Akajibu "Ni kaka yangu amekuja kunisalimia ametoka chuo."

Jamaa akaingia chumbani kuanza kula vitu, sasa mm Niko nasikilizia sebleni, dah! Asubui ilipofika nikaaga kuondoka, jamaa akasema chukua hela ya nauli hii hap! Sikuamini Kam nimetoka salama.

We ni fara
 
Najaribu kivuta picha jinsi ulivyokuwa unatetemeka 😄😄😄,najaribu kuwaza jinsi Ulivyo tambulishwa Kama kaka yke 🙄🙄🙄mcho yalivyo kutoka na Ulivyo shtuka 😲😲😲,kubwa kuliko umelala mpka asubuhi unaskilizia utamu wa wenzio🙆🙆🙆,la mwisho ujàsiri ulio pata wa kuchukua hio nauli ulio pewa🤔🤔🤔
 
Sheria namba moja usilale kwa mwanamke hata siku moja, fear women bro! Kuna wengine wako maofisini kabisa wana maisha mazuri lakini wanaume ndio wana walipia kodi, unaweza kuta anatembe na mume wa mtu uwa anaibuka mara moja moja anapiga mzigo ndio anaenda kwake. Usijaribu kabisa kulala kwa mwanamke hata akikubembeleza vipi wanashawishi sana ukipiga hesabu ya kukwepa gharama ila unaweza jikuta ndio unaingia gharama kubwa katika maisha yako na kujuta juu. Unaweza jikuta unapoteza maisha hivi hivi kisa nyege za muda mfupi.
umeongea kweli kabisa.
 
Kuna siku Niko club ya usiku nacheza macho yangu yakaangukia kwa mdada flanj hivi alikuwa beautiful kweli Sasa katika kumchombeza akawa amekubali bwana akanieleza yeye anaishi pekee yake kwake khy nijaribu na hapo club twende tu.

Basi bila hat kuwaza na huku mamb si mambo tugaongozana tukafika kwakuwa alikuwa amelewa kiasi akajitupa kweny sofa moja TU ambalo lililokuweno ndani chumba chake Sasa wakati na mgusagusa c ndo tukasikia mlango unagongwa dah nilihaha

Sana akanieleza ww nijifanye ni kaka yake nimekuja kumsalimia nasoma chuo, bwanaaaa akanipa shuka nikalala pale kweny Kochi akaingia akanikuta akamuuliza Nani huyu? Akajibu "Ni kaka yangu amekuja kunisalimia ametoka chuo."

Jamaa akaingia chumbani kuanza kula vitu, sasa mm Niko nasikilizia sebleni, dah! Asubui ilipofika nikaaga kuondoka, jamaa akasema chukua hela ya nauli hii hap! Sikuamini Kam nimetoka salama.
Hii kamba yaan demu Ana jamaa yake ambae hawafahamu kaka zake sio kirahisi hivo
 
Sheria namba moja usilale kwa mwanamke hata siku moja, fear women bro! Kuna wengine wako maofisini kabisa wana maisha mazuri lakini wanaume ndio wana walipia kodi, unaweza kuta anatembe na mume wa mtu uwa anaibuka mara moja moja anapiga mzigo ndio anaenda kwake. Usijaribu kabisa kulala kwa mwanamke hata akikubembeleza vipi wanashawishi sana ukipiga hesabu ya kukwepa gharama ila unaweza jikuta ndio unaingia gharama kubwa katika maisha yako na kujuta juu. Unaweza jikuta unapoteza maisha hivi hivi kisa nyege za muda mfupi.
Unatobolewa speaker live bila chenga
 
Hata na ivo wew ni mvumilivu mno!!kwa hio had asbh umejikunja 2 kweny koch na jamaa ana kunja na kukunjua chumban,kuwa makin next time utapgwa 3some
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom