Recent content by Ze showstopper

  1. Ze showstopper

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kma sio makongo juu basi changanyikeni hii!
  2. Ze showstopper

    Chuo kipi bora zaidi, kwa anaefahamu msaada tafadhali

    Kwa hizo kozi apo hyo ya MoCu ina wigo mpana zaidi wa kuajiriwa
  3. Ze showstopper

    Je, ni kabila gani uliambiwa usioe/ usiolewe nalo na kwanini?

    Usioe kabila ambalo wanawake ndo wana nguvu/mdomo(wasemaji) sana kwenye koo zao afu wanaume wao ni wapole kupitiliza mf. Makabila ya Pwani, Wanyakyusa , Baadhi ya wachaga(machame)
  4. Ze showstopper

    Msaada ndugu zangu dawa ya kunguni

    Kuna dawa flani hivi unga unga wa rangi ya pinki unapakwa kwa kutumia unyoya wa kuku kwny kitanda na godoro aisee hutakuja kuona tena kunguni maisha yako yotee!
  5. Ze showstopper

    Nimeamua kuachana na mwanamke wangu sababu ni mazoea na wanaume

    Wanawake wa kusini hasa songea ndo wanakuaga na tabia hizi
  6. Ze showstopper

    Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

    Apo uchague the lesser evil sasa dawa za hospitali au hzo mambo mwisho wa siku zte zina effects sawa positive na negative ila uhakika shemeji ataenjoy
  7. Ze showstopper

    Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

    Hilo sijui ila bodaboda wanatumia sana huo kwa wake za watu labda uwe unatumia mara moja moja kunusuru ndoa yako
  8. Ze showstopper

    Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

    Kuliko kujiharibu na Operation tafuta vijana wa boda apo mtaani wakutaftie ule mkongo tena ule wa kilemba umridhishe mkeo apo utatumia tu umfurahishe wife mara moja kwa wiki
  9. Ze showstopper

    Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

    Hao viburi wataalamu kuifinyia ndani utaomba msamaha ww kwa kosa lake
  10. Ze showstopper

    Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

    Ulijua yote hayo na bado ukamuoa huo mzigo wako ubebe tu ila jua tu sonona na presha ndo zitakumaliza uzeeni
  11. Ze showstopper

    Hizi Taarifa za Makahaba wengi Dar zinatuchosha mnataka Waondolewe hivi kwa Kero za Wake zetu tutakuwa tunajipoza wapi?

    [emoji23] me mwnywe kwa mara ya kwanza nimepata huu ugonjwa Dom tena mtt mkali anasoma zke Masters Udom sirudii tenaaa!
  12. Ze showstopper

    Hivi Dodoma ndio hakuna maji namna hii?

    Jirani angu kumbe jna usiku yalitoka uku ilazo baada ya kma wiki kuwa kukavu
Back
Top Bottom