Usioe kabila ambalo wanawake ndo wana nguvu/mdomo(wasemaji) sana kwenye koo zao afu wanaume wao ni wapole kupitiliza mf. Makabila ya Pwani, Wanyakyusa , Baadhi ya wachaga(machame)
Kuna dawa flani hivi unga unga wa rangi ya pinki unapakwa kwa kutumia unyoya wa kuku kwny kitanda na godoro aisee hutakuja kuona tena kunguni maisha yako yotee!
Kuliko kujiharibu na Operation tafuta vijana wa boda apo mtaani wakutaftie ule mkongo tena ule wa kilemba umridhishe mkeo apo utatumia tu umfurahishe wife mara moja kwa wiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.