Recent content by ze seeker

  1. Z

    Transfer vacancy request at ESS Utumishi

    Taasisi wakiapprove ukia Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
  2. Z

    DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Nilishindwa kusoma mwaka huu.Marafiki zangu wa ofisi zingine walijiunga CBE kwasababu Tuition fees kidogo,Waliowahi kulipa tuition fees walitamani kuacha chuo ndani ya mwezi mmoja. Wengine walikimbia mapema walienda Udsm na IAA walikubali kupata hasara ya laki moja ya usajili.waliolipa nyingi...
  3. Z

    DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Ingia Instagram kwenye jamii forum wamepost chuo chako kwenye campus unayofanyia kazi(sina uhakika Kama mtumishi wa cbe).soma comments vipo vitu vingi vimeandikwa vitasaidia kujibu swali lako.
  4. Z

    DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Ulaya ni developed country wasomi walikua wengi kabla ya uhuru na baada,ila Africa, Tanganyika mpaka Tanzania inazaliwa frequency ya wasomi na vyuo ilikua inafanana ni wachache au Kama hakuna,tusijifananishe nao. Masters na PhD kwa Tanzania vyuo vya kwenda kusoma vipo but vyuo vingine...
  5. Z

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Nenda chochote level ya University hizi college za education za biashara utakuja kulia hawajajua maana ya kutoa elimu.customer service inawashinda wasumbfu tu
  6. Z

    DOKEZO Chuo cha CBE Dar boresheni Mifumo ya Ada na Matokeo, inatupa usumbufu sana

    Hicho sio Chuo,kipo nyuma sana baada ya kuanza kujijenga.kinataka kuanza kutoa PhD nawaonea huruma wanafunzi watarajiwa ya chuo tajwa
  7. Z

    College of Business adminstration (CBE) futeni hizo namba zenu za huduma Kama hamuwezi kupokea simu zenu hizo

    CBE?Nenda ukasome utajua mengi zaidi utakuja kulia huku jamii forum.bado hawajajipanga kwenye mambo mengi
  8. Z

    Kati ya Mzumbe na CBE, Chuo gani kizuri kwa Shahada ya Uzamili katika Masoko?

    CBE?Nenda kwenye vyuo vikuu au taasisi za uhasibu utasoma kwa kuheshimiwa utapata elimu nzuri. CBE bado hakijajipanga kwa huduma zao sio nzuri,ukitaka huduma kufokewa au kufukuzwa au kukatiwa simu ni jambo la kawaida kwao but fanya utafiti kwanza kwa wanafunzi au Nenda chuoni ujifanye Kama mgeni...
  9. Z

    Masters of Business Administration UDSM

    Masters kwa vyuo vikuu unasoma bila shida kwa vyuo vya kati vichache vipo vizuri Kama vya uhasibu na vingine,ila chuo Cha Elimu ya biashara maarufu tanzania hawapo serious kabla ya kuomba online kifatilie kwanza usije kwenda kudharaulika bure kwa huduma mbovu
  10. Z

    Ushauri wa kozi chuo cha CBE

    CBE?angalia mazingira yake kabla ya kulipa ada au uliza wanafunzi wanayofanyiwa utapata majibu
Back
Top Bottom