Black Butterfly
Member
- Aug 31, 2022
- 54
- 99
Wenye mamlaka leo naomba kufikisha kero yangu kuhusu ubovu wa Mifumo ya Malipo ya Ada na Utoaji Matokeo ya Mitihani ambayo imekuwa na usumbufu kwa Wanafunzi kutokana na Matokeo kutowekwa kwenye Mfumo unaoruhusu kuingia kwa akaunti maalumu (COSIS)
Pia kwenye suala la Malipo ya Ada, Mifumo ya Chuo hiki imekuwa haisomi taarifa zilizo sahihi na kusababisha baadhi Wanafunzi kuonekana bado wanadaiwa Ada wakati wameshamaliza malipo ya Mihula
Tunaomba sana wenye Chuo wachukue hatua za haraka kwa kuboresha Mifumo hii ili kuepusha usumbufu usio na msingi kwa Wanafunzi
Pia kwenye suala la Malipo ya Ada, Mifumo ya Chuo hiki imekuwa haisomi taarifa zilizo sahihi na kusababisha baadhi Wanafunzi kuonekana bado wanadaiwa Ada wakati wameshamaliza malipo ya Mihula
Tunaomba sana wenye Chuo wachukue hatua za haraka kwa kuboresha Mifumo hii ili kuepusha usumbufu usio na msingi kwa Wanafunzi