MICHAEL J.KUNAMBI
Member
- Feb 2, 2015
- 26
- 15
Asome kozi ipi kati ya Bachelor of Accounting and Finance na Bachelor of Banking and Finance?
Duh kumbe?College of beauty and entertainment. Asome metrology.
Asante.CBE ikiwa ni dsm it's very challenging, chuo kipo katikati ya jiji wengi wanatokomea rahani hukoooo
Mwambie achague anachopenda.
Mbona bado ma dr wanaajiriwa wengi tu huwez mkuta dr hajaajiriwa mtaaniAsome chochote.
Kozi zote kwasasa Tanzania hazina Ajira.
Una umri gani?? Umesomea kozi gani?Mbona bado ma dr wanaajiriwa wengi tu huwez mkuta dr hajaajiriwa mtaani
Nna miaka 19 nipo form now brazaUna umri gani?? Umesomea kozi gani?
Kasome accounting achana na banking.. ila hakikisha ukimaliza una cpaNna miaka 19 nipo form now braza
Kama Kuna mambo ambayo sio mazuri yanafanyika na unayajua ni bora ukamwambia mapemaCBE?angalia mazingira yake kabla ya kulipa ada au uliza wanafunzi wanayofanyiwa utapata majibu