Kwa kuwa imethibitika Mengi ana historia ya kuanzisha migogoro isiyo na miguu wala vichwa na kuibuka kidedea.
Namshauri asijaribu kwa huyu kidume unless anampango wa kurudi kijijini kwao kulima.
Huo ndo ukweli mchungu.
Yawezekana ikawa ndo mbunge pekee toka 1964 aliyewa-inspire vijana wengi zaidi kuingia kwenye siasa kutokana na uwezo wake kujenga hoja nk
Kwa hiyo source ya habari wala sishangai.
Vyombo vya habari vilikuwa chanzo cha machafuko baada ya uchaguzi huko kwao lakini bado wanalea habari zinazochochea uvunjifu wa amani.
Upumbavu wao hukohuko.
Kuna ukweli mkubwa katika hili unajua tunapochangamana na vilaza huwa tunahisi hawatatuelewa maana uelewa wao ni mdogo mno na sisi tupo deep sana so tunaamua kukaa kimya tu kuwa wasikilizaji.
Hata hivyo ukimkuta kilaza mkimya huwa wanakuwa vilaza kindakindaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.