Recent content by ze-dudu

  1. ze-dudu

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Fungu la kukosa
  2. ze-dudu

    Hivi USA anataka nini hasa kutoka Iran. Kwani akikifanya Iran vita inaisha

    Sidhani kama utapata majibu ya maana
  3. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ukipitia hizi coment humu ndio utagundua kwanini ccm wanatawala mpaka leo
  4. ze-dudu

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bado naiona nafasi pale juu
  5. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tareh 20 mwezi huu ni mwaka mpya kwa hapa iran na huwa wanasheherekea wiki nzima 😁😁 Sijui makombora yataendelea ama yatasitishwa
  6. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Unachoongea ndio ninachokishuhudia hapa maana nipo mwaka wa nne huku iran Jamaa vikwazo vya uchumi ndio tatizo halafu hakuna sumu mbaya duniani kama propaganda atakaefanikiwa kuja kuishi iran miezi mitatu tu atagundua hili
  7. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iyo milipuko mikubwa sana wala sikubishii naishuhudia live hapa asaluyeh 🙌🙌
  8. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ujumbe wa mtoto wa ayatollah kwa wairan😁😁 Nnimewawekea mpaka kwa kiswahili Ujumbe wa kwanza wa Ayatollah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, kiongozi mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ulichapishwa kwenye redio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ujumbe huu wa kimkakati, ambao umetolewa katika mada saba...
  9. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Upo sahihi nipo iran mwaka wa nne huu Navutiwa sana na spirit yao hawa jama Kuna mzee nilikua nafanya nae kazi december mwaka wa jana yeye na mwanae mara ghafla mwanae simuoni namuuliza yupo wapi ananiambia ameacha kazi na kwenda kujiunga jeshi kama unakumbuka hui ndio mwezi chokochoko za...
  10. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hapo nimetoka muda sana toka december nipo deyyer hapa wakishambulia nitakushtua na juzi walitoka shambulia sokoni asaluyeh Mitaa yangu hii ya kujidai
  11. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Vita ndio chanzo ila ikiisha ni whatsapp na imo tu ndio utaipata kawaida ila apps nyingine zote bila vpn hufungui
  12. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huku apps za nje zote hazifanyi kazi ila apps zao kama kawa zinapiga mzigo na irancell inafungua data unaangalia fresh muvie tena hakuna hata kukwamakwama Whatspp yao ndio sina tu maana hizi apps zao zinafanya kazi ndani ya iran tu
  13. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Toka vita inaanza hapa iran mtandao haujazimwa ila apps za nje hazifanyi kazi ni IMO tu ndio inafanya kazi ila apps zao wairan zipo hewani kama kawa Humu propaganda ni nyingi sana na mbaya zaidi siwezi bishana na kijiji cha wajuaji
  14. ze-dudu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tehran ipo mkoani huko mi nacheza pwani tu asaluyeh port bushehr port na deyyer port
Back
Top Bottom