Recent content by ze-dudu

  1. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bado naiona nafasi ya kipara pale juu
  2. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Bado naiona nafasi pale juu
  3. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Iran yatoa mafunzo namna ya kutumia AK-47 mbashara kwenye Televisheni ya Taifa

    Mbo.oo moja tu pale middle east...IRAN🙌🙌
  4. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Hata mie nashangaa dunia ya leo ninunue gari nikae nalo miaka 15 mpaka 20 la nini wakati ndani ya iyo miaka zinatoka pamba nyepesi kali mno mpaka gari lako unaliona takataka
  5. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Mamaeeee hata suzuki carry habebi huo mzigo
  6. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Naona vyuma vya China tutaanza kuvizoea sio muda. Ona ili Zeekr 9X SUV!

    Lile dude pale juu kwa picha lazima ufunge kiwanda tu
  7. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Pep kabakisha kombe moja tu kwa ligi ya ndani 😀😀😀 na lazima alibebe ni suala la muda tu
  8. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iyo kitu ni real iran wamejam gps na ais hazifanyi kazi meli nyingi zimepaki baharini kwa hofu ya kugongana na inaenda wiki ya tatu sasa....na meli zote zinazotembea humu ndani ya gulf captain anatumia chart na radar tu🙌🙌🙌🙌
  9. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Marekani yashambuliwa na Jeshi la Wanamaji la Iran ambalo inadaiwa liliangamizwa

    Mwisho wa siku hii maersk imebondwa😁😁😁😁umeandika mambo mengi kumpinga jamaa mwishowe wew ndio waonekana muongo sasa Mi nasema bora babu marehemu na sio huyu mwanae kichaa
  10. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Putin atoa onyo ole wake atakayethubutu kuchukua uranium ya Iran bila ruhusa ,,kumekucha!

    Uhatari wa iran upo wapi Unaweza kunitajia nchi moja tu ambayo iran alienda kuivamia na kuanzisha vita??
  11. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Safari ya Trump yaonyesha Marekani inaihitaji sana China

    Ule mlango kuwa free kwa meli kupita bila ela sahau maana jamaa washaona mzigo watakaopata ni mwingi sana na utawasaidia kwenye mambo yao.......
  12. ze-dudu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi vibinti vya 2005 hadi 2010 nani ameviroga? Hii stamina na libido vimeitoa wapi?

    Ni hatari na hakuna cha jando wala unyago waliopitia
Back
Top Bottom