Recent content by ze-dudu

  1. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Yule mwarabu wampe tu
  2. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania TASAC na DMI kipengele cha cheti cha form 4 cha kazi gn kwenye kusoma ubaharia?

    Hii meli kwa huo mfumo hakuna afisa wa kibongo atakaepanda milele
  3. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hivi tumefungwaje wakuu🤔🤔🤔🤔🤔
  4. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Vituo vya Mabasi: Ni kwaajili ya wananchi au Serikali?

    Hao wa kusini kituo chao mbagala
  5. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Kumbe inawezekana kujenga barabara kutoka Zanzibar kuja Tanzania Bara?

    Izo xxx kina chake kinasomaje urefu
  6. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Tuvae Condom Wandugu, Nasisitiza

    Katombewa huyo
  7. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Chalamila, Stendi ya mabasi ya Magufuli ni ndogo. Mabasii yanakosa sehemu ya kushushia na kuegesha

    Mfano abood ana bus 100 anatakiwa aingize gari zake hapo apakie...je iyo nafasi ya kupaki gari zake 100 ipooooo?????? Huyo ni abood tu na izo bus 100 zote zinatoka muda mmoja na zinatakiwa zote ziwe hapo mbezi zipakie ziondoke
  8. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Nchemba ?

    Upepo ushakata
  9. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Nana dolls

    Anaachaje na huko ndio kunampa pesa ya maana Kuna demu staa asiekunya
  10. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Ndege yoyote inayoonekana inashambulika kwa urahisi sana, labda ikiwa ndani ya Marekani inaweza kuwa vigumu kushambuliwa kutokana na backup. Ila ikiwa umbali mkubwa hakuna namna mifumo ya ulinzi iliyo ndani ya ndege moja tuu inaweza kuhimili maelfu ya makombora. Ni mjinga tuu ndo anaweza...
  11. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Trump mikwara mingi, kumbe muoga hivi?

    Ndege yoyote inayoonekana inashambulika kwa urahisi sana, labda ikiwa ndani ya Marekani inaweza kuwa vigumu kushambuliwa kutokana na backup. Ila ikiwa umbali mkubwa hakuna namna mifumo ya ulinzi iliyo ndani ya ndege moja tuu inaweza kuhimili maelfu ya makombora. Ni mjinga tuu ndo anaweza...
  12. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mbona zamani wote waliishia ubungo nini kinawafanya sasa hivi washindwe kuishia mbezi
  13. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kama ni mgonjwa je???
Back
Top Bottom