Recent content by ze-dudu

  1. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mbona zamani wote waliishia ubungo nini kinawafanya sasa hivi washindwe kuishia mbezi
  2. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Jux kayakanyaga huko! Waja wanauliza kwanini kakonda sana?

    Kama ni mgonjwa je???
  3. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Toka ianze iyo blockade mpaka sasa ni miezi mingapi??
  4. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Babu shikamoo
  5. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Netanyau asema ICC ni kikaragosi tu. Haina cha kumfanya ana Jeshi kali.

    Ayatollah ni icc kwani mbona shombo nyingi huku akiiwaza Iran tu
  6. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    🚨 RYAN GIGGS: "AMORIM NDİYE ALIYEBADILISHA UTAMADUNI WA USAJILI MAN UNITED!" 🔥 Gwiji na mshindi mara 13 wa Ligi Kuu ya Uingereza, Ryan Giggs, ameibuka na kufichua jinsi kocha wa zamani wa Mashetani Wekundu, Rúben Amorim, alivyoweka msingi mpya na thabiti wa sera ya usajili klabuni hapo chini ya...
  7. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Simu imeokotwa

    Peleka facebook hutochukua hata dakika tano kumpata mwenyew
  8. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Real mamy umeolewa au bado?

    VIjana nyege zinawaendesha sana
  9. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    Pale jordan kila tamko lilitolewa mara russia na china wanamsaidia iran mara hypersonic missile hazizuiliki sababu zilikua zinakuja mwendo wa nyoka ziga zaga😁😁😁
  10. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Trump: Tunaendelea na Mazungumzo mazuri na Iran

    Baada ya ile mwana ukome viongozi wa jordan walikuja juu kutaka wanajeshi wote wa marekani waondoke Muajemi pale alijua kupavuruga mamaeeee
  11. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Tunaenda kushuhudia Marekani inashindwa vita na Iran. Wachina na Warusi ni wahuni sana

    Miaka mingi kurekebisha uharibifu umeambiwa tupo zama za mawe kwani Dunia ya leo unabomoa daraja wiki tu linajengwa temporary na watu na magari yao wanapita sembuse izo infrastructure unazozisema Nakukumbusha tu dunia ya leo china alijenga hosp kwa siku 100 mchawi pesa tu dunia ya leo
  12. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania Hatimae makubaliano kati ya Iran na Oman kuhusu mlango wa bahari wa Hormuz yafanyika

    Hatimae Iran yaenda kujengwa upyaaaaa na safari hii itakua bora zaidi ya tuliyoiyona juzi
  13. ze-dudu

    JamiiForums Tanzania 5G: Injini Mpya ya Uchumi wa Kidijitali wa Rwanda?

    5G kwa 1GB ni bei gani
Back
Top Bottom