Unachoongea ndio ninachokishuhudia hapa maana nipo mwaka wa nne huku iran
Jamaa vikwazo vya uchumi ndio tatizo halafu hakuna sumu mbaya duniani kama propaganda atakaefanikiwa kuja kuishi iran miezi mitatu tu atagundua hili
Ujumbe wa mtoto wa ayatollah kwa wairan😁😁
Nnimewawekea mpaka kwa kiswahili
Ujumbe wa kwanza wa Ayatollah Seyyed Mojtaba Hosseini Khamenei, kiongozi mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ulichapishwa kwenye redio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Ujumbe huu wa kimkakati, ambao umetolewa katika mada saba...
Upo sahihi nipo iran mwaka wa nne huu
Navutiwa sana na spirit yao hawa jama
Kuna mzee nilikua nafanya nae kazi december mwaka wa jana yeye na mwanae mara ghafla mwanae simuoni namuuliza yupo wapi ananiambia ameacha kazi na kwenda kujiunga jeshi kama unakumbuka hui ndio mwezi chokochoko za...
Huku apps za nje zote hazifanyi kazi ila apps zao kama kawa zinapiga mzigo na irancell inafungua data unaangalia fresh muvie tena hakuna hata kukwamakwama
Whatspp yao ndio sina tu maana hizi apps zao zinafanya kazi ndani ya iran tu
Toka vita inaanza hapa iran mtandao haujazimwa ila apps za nje hazifanyi kazi ni IMO tu ndio inafanya kazi ila apps zao wairan zipo hewani kama kawa
Humu propaganda ni nyingi sana na mbaya zaidi siwezi bishana na kijiji cha wajuaji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.