Hata mie nashangaa dunia ya leo ninunue gari nikae nalo miaka 15 mpaka 20 la nini wakati ndani ya iyo miaka zinatoka pamba nyepesi kali mno mpaka gari lako unaliona takataka
Iyo kitu ni real iran wamejam gps na ais hazifanyi kazi meli nyingi zimepaki baharini kwa hofu ya kugongana na inaenda wiki ya tatu sasa....na meli zote zinazotembea humu ndani ya gulf captain anatumia chart na radar tu🙌🙌🙌🙌
Mwisho wa siku hii maersk imebondwa😁😁😁😁umeandika mambo mengi kumpinga jamaa mwishowe wew ndio waonekana muongo sasa
Mi nasema bora babu marehemu na sio huyu mwanae kichaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.