Hapo mzee umemaliza, kule ccm kuna msemo ccm ina wenyewe, na Chadema pia ina wenyewe, Zito kuondoa kabisa ushabiki wa kijinga, kwenye underline pale, ni kweli mkuu, tuwaulize waliopo humo wametokea wapi, na ni kwa nini, wengi walikuwepo sasa hv wako wapi, na hawa waliokuja wengi wao baada ya...