Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji,mtapiga kelele weeeeee lakini mwisho wa siku zitto ndie rais.timing nzuri kwa mwanasiasa mkongwe kama zitto ndo hiyo,kufika 2015 tayari jina lake litakuwa limeshazoeleka masikioni mwa walio wengi hasa vijana wapiga kura.
Bravo zitto,good timing,a well focused leader.
a well focused leader kwenye mafanikio binafsi... maelezo yako yanathibitisha roumors za ubinafsi wa zzk. halafu viongozi huwa hawaji kwa mtindo sa zzk. maoni yangu.