Unajua kwa mtu anayefatilia isue za waislam atakubaliana na mimi kuwa kwa muda mrefu wamekuwa wakitoa malalamiko yao kwa njia za kidiplomasia lakini kila suala waliloliendea kwa njia za kidiplomasia serikali ilitia pamba masikioni sasa wamesha ona hizo njia hazina mpango nao kwahiyo wanaloamua walifanye watalifanya tu wala hakuna wakuzuwia. Pia kwa kipindi kirefun sana magazeti na TV ni vyombo ambavyo kupia wahariri na waandishi wa hivyo vyombe hupotosha habari za waislam, hilo waislam wote wanalijua kwa hiyo haliwashughulishi tena, narudia haliwashughulishi tena, tena mkiona namna gani vipi muache tu hata kureport habari zinazowahusu waislam.
NECTA ni kitengo cha parokia, wafanya kazi wote wa baraza ni waRC does it mean kwamba pale wengine hawana sifa ya kufanya kazi?
NDALICHAKO BORA UJIONDOA MWENYEWE USISUBIRI KUAIBISHWA ZAIDI KWANI MAANDAMANO YALIYOENDA KWA NCHIMBI YALIKUWA CHA MTOTO, NA HATUTOONDOKA MPAKA UMEFUNGASHA MAKABURASHA , ukawe katibu mkuu wa mitihani kanisani kwenu. Tumechoka kuonewa
NECTA ni kitengo cha parokia, wafanya kazi wote wa baraza ni waRC does it mean kwamba pale wengine hawana sifa ya kufanya kazi?
NDALICHAKO BORA UJIONDOA MWENYEWE USISUBIRI KUAIBISHWA ZAIDI KWANI MAANDAMANO YALIYOENDA KWA NCHIMBI YALIKUWA CHA MTOTO, NA HATUTOONDOKA MPAKA UMEFUNGASHA MAKABURASHA , ukawe katibu mkuu wa mitihani kanisani kwenu. Tumechoka kuonewa