Halafu pia anakosea kusema "ALIVOTEULIWA kuwa mgombea urais"
Mchakato wa kupata mgombea mmoja kupitia NEC ya CCM ni ya UCHAGUZI na sio UTEUZI.
Sasa hapa yeye anahalalisha kwamba mwenyekiti alikuja na majina yake mfukoni ndio maana akateuliwa.
Kama jicho ndilo litakalokufanya uukose ufalme wa mbinguni, ling'oe na kulitupilia mbali.
Kama una sababu za msingi kisheria na kiroho. Ya nini uteseke miaka yote uliyobakiza hapa duniani.
#You Only Live Once, YOLO
Mtu anaishi kwa mipango yake. Kila mtu ana vipaumbele vyake.
Kama kuoa ni kipaumbele chako cha kwanza ujue kwamba kwa mwingine kinaweza kuwa cha nne au tano kulingana na mipango yake. Wengine hawana icho kipaumbele kabisa.
Kuoa na kuishi kwako mbali na wazazi ni majukumu yanayotegemea...
Kwani akikukamata kwamba umevunja sheria, utalalamika kwamba alikuvizia? Kosa ni wewe kuvunja sheria na sio yeye kukuvizia.
Kwaio mimi naona Haikatazwi taffic kukuvizia! Wewe CHA MSINGI FUATA SHERIA hautapata shida nae hata kama amekuvizia.
Hiyo ni treni ya TAZARA. Na hapo sio Dar ni naeneo ya nyanda za juu kusini. Mbeya, kwamfano.
Hiyo ni safu ya milima ya Mbeya "mbeya mountain ranges".
Milima hiyo ina vilele kama vile livingstone na loleza.
Elimu yako ni ndogo sana. Ni vyema ukajisomea kila siku na kufuatilia habari...
Kiongozi/mpinzani imara hatangazi UDHAIFU wake hata siku moja.
JPM anatangaza udhaifu wa serikali iliopita na pia anatangaza uthaifu wa timu yake ya kampeni.
Nadhani anakosea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.