Ni hatari kuwa na rais asiyeaminika

Ni hatari kuwa na rais asiyeaminika

nyoka wa makengeza

Senior Member
Joined
Mar 25, 2015
Posts
114
Reaction score
21
Watz tuache ushabiki,ni wazi kuwa huyu fisadi nguli lowasa hatufai hata kidogo mbaya zaidi yuko cdm chama kimewanajisi wanamabadiliko ni kama vile walikosea kuwaamini
 
Watz tuache ushabiki,ni wazi kuwa huyu fisadi nguli lowasa hatufai hata kidogo mbaya zaidi yuko cdm chama kimewanajisi wanamabadiliko ni kama vile walikosea kuwaamini

Wahuni wa CHADEMA ni HATARI. Lowassa ni hatari. Mijinga nyumbu ya Ukawa majanga. Changanya vyote unampata Shetani original
 
Watz tuache ushabiki,ni wazi kuwa huyu fisadi nguli lowasa hatufai hata kidogo mbaya zaidi yuko cdm chama kimewanajisi wanamabadiliko ni kama vile walikosea kuwaamini

Ndo maana hata jina ni la kitaahira! nenda na mume wako huyo anaye honga mahawala mali ya umma na je tukimpeleka ikulu si ndo atahonga ikulu na jeshi! Lowasaaaaaaa-mabadiriko!
 
Kama 2010 raisi alichaguliwa kwa kura milioni nne(4,000,000/=) wakati watanzania tulikuwa zaidi ya million 43...je aliaminika?
Nb:
Huyu anaaminika na ndio maana atapata kura za kutisha!!!tunawaadhibu jinsi mmetuadhibu miaka yota hiyo na kutaka kutulete utawala wa kifalme !!!!yaani mnayempenda hatakama si kupendwa na wananchi...
 
Kweli ww ni ngoja mwenye makengeza kama jina lako na fikra zako pia kengeza tu
 
Watz tuache ushabiki,ni wazi kuwa huyu fisadi nguli lowasa hatufai hata kidogo mbaya zaidi yuko cdm chama kimewanajisi wanamabadiliko ni kama vile walikosea kuwaamini

Hiyo siyo lugha ya ushawishi kwa watanzania wenye akili zao timamu!Watu wa aina yako ndiyo wamekinajisi chama bila sababu za msingi na leo mgombea wetu anaona haya hata kuandika CCM kwenye mabango!
 
Miaka 50+ bado CCM hamuaminiki .. Lazima muondoke mwaka huu! Wajinga sana nyie!
 
Back
Top Bottom