Dkt. Magufuli aihofia timu ya kampeni za CCM

kuna watu wanakataaa kauli hiyo?

Lowasa alijiandaa kimkakti saana..anaijua siasa.. angekua kiafya vema 100% ingekua hatari zaidi.. kwa sasa mm naona asiongee ayo sana atazid kujiletea mpasuko.wawadhibiti tu kimykimy
 
Leo TWAWEZA watatoa utafiti wao.. ambayo inaongozwa na miriam sarungi baada ya hapo siku zijazo REDET watatoa zao lkn nawaombeni mjue ni kwann JANUARY alitangaza asilimia zile,,,ule ulikuwa ni mpango ambao kwss utafuatiwa na TWAWEZA, halafu REDET yote yaki pendelea CCM na kutengeneza mazingira ya kuiba kura maana hawana namna nyingine. Kutokana hali hyo nawaombeni ndugu zangu msiwe na wasiwasi ppt ulipo endelea kupigana
Taarifa za uhakika nilizopata CCM imeandaa utafiti feki kupitia Twaweza....watasema Magufuli ana asilimia 68% na Lowassa 22%

Ripoti halali wanayo ya Lowassa kuongoza lakini watatoa ripoti Feki.

Kwa huu muda wa asubuhi mpaka saa 4 pigeni kelele kupitia njia mbalimbali kulaani ushenzi huu.Tumieni JF,FB,tweeter,Instagram nk...
It doesn't matter mkuu wao wajitekenye sisi tutawashangaza Oct 25.
 
Mtoa Mada Kati Ya Ufalme Wa Ukawa Na Wa Ccm Upi Umegawanyika?Slaa,lipumba,katibu Na Makamu Mwenyekiti Wa Nccr Walikuwa Katika Ufalme Upi Na Rank Zipi??Magufuli Kaona Hujuma Na Misunderstandings Na Amezisema Mapema Kabla Yakutokea Kama Ufalme Wenu Yaliyotokea Mpaka Mnawaita Wasaliti Oh Mara Wamehongwa.Thats Why I Call Him "the One Who Makes Things Happen"
 
Yes! Tunataka kiongozi aina ya Magufuli ambaye sio mnafiki.
 
Hamjui mbinu ya vita nyie. Ukimgundua adui yako mapema ni vizuri zaidi. Wanafahamika tangu mwanzo na watashughulikiwa baada ya uchaguzi waende huko wakavuruge
 
Amesema baadhi hajasema wengi.UMEBOBEA KWA UWONGO AU UMELEWA POMBE YA UKAWA

kwa iyo umekiri kuwa kuna baadhi ya viongozi wa ccm mchana wanajidai wako na magufuli ila usiku kucha wanampigia Lowasa kampeni.
Je huoni kuwa ilo ni tatizo linanatupa UKAWA ushindi kabla ya saa nne asubuhi?
 
Yes! Tunataka kiongozi aina ya Magufuli ambaye sio mnafiki.

Kiongozi/mpinzani imara hatangazi UDHAIFU wake hata siku moja.

JPM anatangaza udhaifu wa serikali iliopita na pia anatangaza uthaifu wa timu yake ya kampeni.

Nadhani anakosea.
 
Naona Magufuli kaona ukweli wa mambo. Wale Watu wanafata wasanii tu
 
Kiongozi/mpinzani imara hatangazi UDHAIFU wake hata siku moja.

JPM anatangaza udhaifu wa serikali iliopita na pia anatangaza uthaifu wa timu yake ya kampeni.

Nadhani anakosea.

Kwani Sumaye Na Lowassa Wanatangaza Mapungufu Ya Serikali Ipi?Wenyewe Hawakuwepo Kwenye Hiyo Serikali?Hawakuwa Watendaji Wakuu Waserikali?Magufuli Alikuwa Mtendaji Mkuu Wa Serikali?
 
Pombe kaelewa kile wananchi wanataka.

Sehemu nyingi sana walikuwa wakipita kwenye kampeni na kuuliza wanachama wao 'Rais wenu mtarajiwa ni nani??

Majibu:Lowasssaaaaaa!!

Ikabidi waache kuuliza hilo swali
 
Na matusi siku zote kazi yake ni kubomoa,
mfano,kibajaji amekomaa na ugonjwa
anashindwa kuelewa kuwa wapiga kura karibu wote hakuna ambaye hajawahi
kuugua,hivyo kwa maneno mengine anaongeza hasira za wapiga kura
na hukumu yake wataiona ifikapo oktoba 25.

Bahati nzuri kura zote zina nguvu sawa,ilimradi inakidhi vigezo
hata mgonjwa akiweza kupiga kura siku hiyo itakamilisha hukumu ya watukanaji.

Na mashall Mwigulu kishawaambia hiyo ishu ya kumsema ugonjwa inamuongezea kura za huruma
 
Mtoa Mada Kati Ya Ufalme Wa Ukawa Na Wa Ccm Upi Umegawanyika?Slaa,lipumba,katibu Na Makamu Mwenyekiti Wa Nccr Walikuwa Katika Ufalme Upi Na Rank Zipi??Magufuli Kaona Hujuma Na Misunderstandings Na Amezisema Mapema Kabla Yakutokea Kama Ufalme Wenu Yaliyotokea Mpaka Mnawaita Wasaliti Oh Mara Wamehongwa.Thats Why I Call Him "the One Who Makes Things Happen"
Lipumba kaondoka,boat(UKAWA) iko poa,Slaa kafuata boat inaendelea kuelea,Walioondoka juzi hata majina siyajui boat kuelea kama kawa,sasa hapo mpasuko uko wapi?

Na kinachoongelewa ni laana mliyoachiwa na kakoba,
kama uliusoma waraka wake alisema mpasuko utaendelea ndani ya
chama chenu na hitimisho litakuwa Oktoba 2015.

Unabii lazima utimie,story za hatutaachia
ni hekeya za abunwasi,wanaoamua nani aingie/nani asiingie ikulu
ni wapiga kura na kamwe si mtu mmoja aliyelewa madaraka.

Tunataka tuwaondolee kinachowalewesha(Kilevi=Madaraka)
ili tusije tukawapoteza,mkae pembeni mkajipange upya.
 
Back
Top Bottom