Recent content by ZALEOLEO

  1. ZALEOLEO

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Hhahahahahahha,dead!!
  2. ZALEOLEO

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Hhahahahaha,sasa povu la nini mkuu?:smile-big:
  3. ZALEOLEO

    ACT-Tanzania vs ACT-Wazalendo

    mkuu umeniua mbavu
  4. ZALEOLEO

    Juliana Shonza: Mimi bado ni Makamu Mwenyekiti BAVICHA...!

    Juliana mbona unakua na akili fupi??? Katika kutaja taja kwako jina la Wegesa Suguta ni kutaka kutuaminisha kwamba jina la John Heche sio jina lake,then ndani ya maelezo yako unatuambia anafisadi gari la chama kwa kumpa mdogo wake anayeitwa "Chacha Heche" Kama Heche sio jina lao kwa nn mdogo...
  5. ZALEOLEO

    CHADEMA - Mbeya: Mwendo mdundo!

    unataka umrudie mavurunde?
  6. ZALEOLEO

    AJIRA: Startimes na kuwanyanyasa watanzania ndani ya nchi yao

    ukute wewe ni mmoja wao wa wanaolipwa 250,000 afu unajifanya unaombea wenzio msaada! Anyway inawezekana kazi hyo ilikua inataka mtanzania yeyote wa kuifanya sema tu kwa sababu degree zimekua nyng mtaani ndo kama hivo kazi za drs la 7 wanafanya form six,kazi za form 4 mnafanya wenye degree...
  7. ZALEOLEO

    Mhariri Jambo Leo afariki dunia

    KWA mara nyingine tasnia ya habari nchini imepata pigo la kuondokewa na Mhariri Mkuu wa gazeti la kila siku la Jambo Leo, Willy Edward (38), aliyefariki ghafla usiku wa kuamkia jana akiwa mjini Morogoro.Taarifa za kifo chake zilitolewa na mhariri mwenzake wa gazeti la Mtanzania, Kulwa...
  8. ZALEOLEO

    Nenda Bob kamsalimie shelembi na chacha Wangwe

    kashinje Masanja bange zako kumbe zinafanya kazi mpk huku? Me nilijua zinaishia facebook tu
  9. ZALEOLEO

    Niandikeje mabango ya kubeba kesho kwenye mkutano wetu (CCM) pale Jangwani a.k.a. Chadema-square?

    Kwani mmeambiwa mwende na mabango? " Habari zenu oil chafu na vinyago wenzangu"
  10. ZALEOLEO

    CHADEMA lazima itashinda uchaguzi 2015 - Maige

    maige kumbe ni muongeaji namna hii? Kila siku anaongea yeye tu
  11. ZALEOLEO

    Serikali ya CCM yazidi kuchafuka UDOM

    nyinyi mnaosema na kuihusisha udom ni waumini wa ccm mnafikiria kweli?
  12. ZALEOLEO

    Madiwani wa CHADEMA kata ya Kitangiri na Igoma wanyang'anywa kadi za uanachama

    nasikia amewapa BAVICHA siku 3 wamwombe radhi,hahahahahaha huyu jamaa ni pasua kichwa asee
  13. ZALEOLEO

    Madiwani wa CHADEMA kata ya Kitangiri na Igoma wanyang'anywa kadi za uanachama

    ahsante mkuu na wewe naona unamfahamu vyema huyu jamaa,
  14. ZALEOLEO

    Madiwani wa CHADEMA kata ya Kitangiri na Igoma wanyang'anywa kadi za uanachama

    wanamsogelea shibuda,huko kote ni kumuandaa kisaikolojia
Back
Top Bottom