Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 240
Jambo leo nalo gazeti kwani!
uchunguzi unaonesha kafa vipi jamani? maana ili gazeti ni la siasa za ubaguzi sana. Poleni wafiwa
Kwa jinsi gazeti hili lilisivyopendwa sitangaa msiba huu hapa jukwaani usipewe kipaumbele kama kafa sijui mfungwa tena mhalifu wa kutisha!!!!
Siasa mbaya sana.
Rip Willy.
wewe acha hizo angalia hapo kwenye red usituletee habari za kusikia!!!mtanisamehe wadau... naskia ni kifo cha utata sana