Recent content by Zakayo Laban

  1. Zakayo Laban

    Huduma mbovu za Mtandao wa TTCL: Malalamiko ya wananchi

    Kwahiyo? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Zakayo Laban

    Hivi kuna siku jiji la Dodoma(makao makuu TZ) litakuwa bora kuliko majiji yaliyotangulia kama Mbeya, Dsm, Arusha, Tanga na Mwanza.?

    Mkurugezi wa Dodoma ni hovyo sijawahi kuona ananyang'anya wananchi maeneo na kuyauza then anatangaza kukua kwa mapato ya jiji huu ni upuuzi pyuuu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Zakayo Laban

    Nataka kwenda Qatar au Dubai. Maisha ya huko yakoje?

    Unapoteza ramani ya maisha yako kijana endeleza shughuli zako hapa hapa East ila ukiwa na shahuku ya kuruka utayajutia haya[emoji1483][emoji1483][emoji2539] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Zakayo Laban

    Mambo 5 usiyofahamu kuhusu Wasukuma ambayo yatakushangaza

    Hujambo shemeji Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Zakayo Laban

    Kuna uhusiano wowote wa Waziri Jafo kuwa mwislamu na hasira kali aliyopata hadi kumsimamisha mtumishi mlevi kazi?

    Uzi huu unaamsha uchochezi wa kidini kitu ambacho Tanzania hatuna upuuzi huo hivyo kama unaweka uzi fikilia kwanza[emoji119][emoji119][emoji850] Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Zakayo Laban

    Refarees wa TPL wanatolewa kafala

    Ebu tupatie hiyo kutoka sport Arena nasi tujue kitu[emoji2539] Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Zakayo Laban

    Tahadhari: Chupa za ‘Pepsi mkubwa wao’ ni hatari zinalipuka zenyewe

    Mimi napita [emoji2539][emoji2539] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Zakayo Laban

    Nimesadiki maneno ya Dk. William M.Tanzania wa USA America

    Kweli mkuu hivyo hivyo pia wamarekani wanakotupeleka tusipo kuwa makini na tukabaki mashabiki yatatukuta ya Libya soon Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Zakayo Laban

    Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

    Tatizo ulisoma ukitegemea ajira ukasahau kuwa tunasoma kuongeza maarifa na namna gani tupambane na maisha na ndiyo maana baada ya kuukosa urubani umeishia kuwa mpishi pole sana kuwa mwalimu mzuri kwa wanao nao wanaposoma wasitegemee ajira ya serikali bali kujitegemea na kujipambania wao tofauti...
  10. Zakayo Laban

    Masaa 24 yameshapita

    Hawa wamarekani wamekua chanzo kikubwa cha machafuko katika mataifa mengi duniani hasa katika bara la Africa tufikili zaidi nasi pia juu ya kile walicho lenga kwani hata katika VISA yao wamesema kuwa nchi zilizo zuiliwa wanapaswa kukubaliana na maafisa wao wa usalama kufanya kazi kwa ushilikiano...
  11. Zakayo Laban

    Masaa 24 yameshapita

    [emoji1360] hao hao wameiweka Libya kwenye machafuko na leo Libya wanatamani yule gwiji Gadafi afufuke nasi tunataka kuwasujudu wamarekani amini ipo siku tutalia na kuwatolea maneno machafu hao wamarekani kwa kusema kuwa tungejua Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Zakayo Laban

    Masaa 24 yameshapita

    Hivi yule ROMA msanii wetu yuko wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Zakayo Laban

    Ifahamu historia ya Wasabato

    Hata usiangaike sana Dini ya kwanza inafahamika Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Zakayo Laban

    Hii ndio Butiama ya Nyerere

    Kwani hakuna viongozi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom