Kuna uhusiano wowote wa Waziri Jafo kuwa mwislamu na hasira kali aliyopata hadi kumsimamisha mtumishi mlevi kazi?

Wewe pia unaongozwa namihemko bila kufikiri kwa kina huyo nimtumishi wa umma kumbuka anahasira nachuki dhidi ya uislam nawaislam unafikiri anaowahudumia niwakristo tu je akijua anayehitaji huduma kuwa nimuislam unafikiri atafanya nini tatizo lenu mmefunzwa chuki nafikra potofu dhidi ya uislam huko makinisani maana hata siku moja hutasikia muislam anachana bibilia au kukojolea kama mfanyavyo nyinyi
Alichofanya Waziri sio sahihi,kwa kuwa kuchana Qur'an hakuna uhusiano wowote na kazi ya mhusika.Alichofanya Waziri ni purely hisia binafsi ambazo zimekuwa ignited na uislam wake,kitu ambacho si sahihi.Sio siri kwamba waislam wanapata hasira za kupindukia dini au mtume wao anapokashfiwa kwa njia yeyote ile.Zipo nguvu "hasi" nyuma ya hasira hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani uongo...we kasome kwenye mitandao wanavyojibu hao waislam....mara ooh tungepiga jambia la kichwa huyo maraa ooh bado anaishi tu huyo jamaa.
Na sio kwamba hamiwezi kukontroll hisia zenu na hiko kitabu bali ndo kilivyoagiza hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliechukua hatua za kumsimamisha yule jamaa kaz ni mwislam mwenzenu, jafo anawaongoza watu bila kujali huyu ni mwislam au ni upande wa mwingine, polisi waliomtia nguvuni alie chana msahafu pengine sio waislam sasa mtu kakamatwa bado mnalalamika je angeachwa mngezungumzeje huu udini mnaupeleka wap bas tafuteni sehem apa tz mjitenge ili mue na taifa lenu ili mjitenge na sumu ya mfumo kristo mnau uhubili kwa wenzenu sumu mnayotengeneza itwanganmiza wenyew time will tel
 
Labda Ku kuelimisha that does not qualify as "unfair termination", he has not been terminated but suspended pending an investigation...so hajafukuzwa therefore hamna unfair termination... Probably ataitwa kwenye disciplinary committee kama wataona kuna grounds nzuri watamfukuza, if not atarudishwa kazini kama kawaida.
I agree with you, nilivyosikia ni kuwa amefukuzwa kazi kumbe ni kuwa amesimamishwa kupisha uchunguzi!?
 
Sheria ndio inasema hivyo. Hata angechana biblia pia angetakiwa akutane na mlolongo huo huo.

Hii nchi kuna makundi mengi ya waumini, na inabidi tuishi kwa kuvumiliana. Sasa huyu achane Quran, yule achane biblia takatifu, yule achana rozali patakalika kweli?

Tujifunze kuishi kwa kuheshimiana kama tulivyiweza miaka yote bila kujali dini zetu.
Aisee nimeshangaa sana eti yule aliyechana Quran kukamatwa kisa eti ameleta uchochezi wa kidini

Kwamba angeamsha hasira za Waislam na wangeweza kuchoma makanisa na kusababisha vurugu kubwa

Yaani hapa wanamaanisha Waislam ni watu wasioweza kupuuza jambo kama hilo, na ni watu wanaoongozwa na mihemko na hasira bila kufikiri, haya ni matusi makubwa sana

Yaani Waislam hawezi kumpuuza chizi mmoja aliyechana kitabu chao? Yaani wangeleta vurugu kwa watu wasiohusika kisa kitendo cha chizi mmoja?

Hii ina tofauti gani na kuhalisha hii dhana potofu kuwa Uislam ni dini ya vurugu na kuwa Waislam wanajilipua kutetea imani yao?

Waislam hawaetereki na kitu kama hiki, so kudhani wangeleta vurugu ni matusi kwao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nabii Tito alivyokamatwa hatukuona mada hizi watu walipongeza jeshi la polisi maana walikuwa wanaomba sana polisi ichukuwe hatua hawakusema wampuuze.
Nabii Tito kukamatwa sikuafiki ndugu, hata hivyo nabii Tito aliendekeza uhayawani wake kwa miezi kadhaa na hakuna Mkristu aliyemdhuru
 
Sheria ndio inasema hivyo. Hata angechana biblia pia angetakiwa akutane na mlolongo huo huo.

Hii nchi kuna makundi mengi ya waumini, na inabidi tuishi kwa kuvumiliana. Sasa huyu achane Quran, yule achane biblia takatifu, yule achana rozali patakalika kweli?

Tujifunze kuishi kwa kuheshimiana kama tulivyiweza miaka yote bila kujali dini zetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo Waislam wangefanya vurugu kweli?
 
Hiyo ni tafsiri yako kwamba vurugu zingetokea kwa sababu waislam wanaongozwa na hasira. Wengine wanaweza kutafsiri kuwa vurugu zingetokea kwa sababu waislam wanaongozwa na mapenzi makubwa kwa dini yao, kitabu chao na Muumba wao.
Kwa hiyo mihemko yao ni mikubwa kiasi kwamba hawawezi kupuuza jambo kama hilo? Unamaanisha kuwa Waislam wapo tayari kufanya vurugu hata mauaji ili kutetea dini?
 
Back
Top Bottom