Hii ndio Butiama ya Nyerere

Hii ndio Butiama ya Nyerere

Lakini kumbuka kuwa Mwl. hakuwa fisadi. Kwa hiyo hakujilimbikizia huduma zote muhimu kijijini kwake. Na kwa taarifa yako hali uliyoikuta ni afadhali.
Umesema kweli.
 
Hv ulitaka hizo shida za huduma maji, shule, hosp etc uzikute kwenye kijj cha nan? au changu ndo ungeona sawa? au ulifikiri kuna kabajeti kadogo ndani ya bajeti kubwa kametengwa kwa ajili ya butiama2? huko kijjn kwenu mabomba yanatoa maziwa mpaka uickitikie butiama? tz ni moja mgawanyo wa utoaji wa huduma lazima uwe sawa sehem zote na ningeshangaa kama ungeeleza tofaut na ulichokieleza, ishu ya kudiscus ni jinc ya kuboresha huduma vjjn na c butiama!!

Maeneno yaendelezwe bila upendeleo, upo sawa.
 
Kwani hakuna viongozi
wana JF,nimefika Butiama kwa mara ya kwanza kweli sikuamini apa ndio kijiji alichozaliwa na kuzikwa mhasisi wa taifa ili JK Nyerere.
Yaani kupatikana kwa maji ni shida kweli,wananchi wanaangaika usiku na mchana kusaka maji,mbaya zaidi ata upatikanaji wa maji kwenye hospital ni taabu kweli.
Majengo ya shule ya msingi yamechakaa ile mbaya,nazani hayajawai kukarabatiwa tangu shule imejengwa,kwa upande wa hospitali nayo majengo hasa wodi za wagonjwa zimechakaa naambiwa wagonjwa wananyeshewa wakati wa mvua,na ipo siku majengo yatawaangukia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom