Taarifa kutoka huko Tunduru mkoani Ruvuma zinadai kwamba Sheikhe afahamikae kwa jina la Abdulrazack Mohamed alikamatwa na watu wanaodhaniwa kuwa polisi (kutokana na mavazi yao) mnamo tarehe 7 mwezi March 2024 na kupelekwa kusikojulikana.
Ndugu walivofanya ufuatiliaji kwenye vituo vyote vya...
Yeye alinunua gari kutoka kwa Dalali au mwenye gari?.Siku hizi kumekuwa na utaratibu madalali wanauza gari bila kuwepo mwenye gari.Wao wanakupa kadi ,Picha na kitambulisho cha mwenye gari ili ukabadili umiliki.Hii ni hatar sana mi nishawahi kataa kununua gari kwa style hii.nilimwambia Dalali...
Hiyo kawaida sana inategemea na mishe zako,Kuna mishe mtu inatakiwa uwahi afu ndo inakuingizia pesa so unaanza na usafir ili usave time kipato kiongozeke upate hela ya kujenga. Ila kama hela yako kupata kwa mwaka mara moja lazima utaanza kujenga.
Wakuu Kama kichwa kilivotanabaisha hapo juu,Kuna mahali nina kaplot ka ukubwa wa Meter 11x15 nataka nianze kukafanyia kazi.je naweza fyatua kanyumba ka chumba tatu na eneo la parking likabaki?
Unafiki ni mbaya kuliko usaliti.Yaani hayo yote leo hii mzee anaonekana hajafanya cha maana.Wajue JPM na watu ,tunakoelekea nchi itachafuka hii,ww acha tu waendelee na maneno yao ya shombo.
Wale raia wenzangu wazalendo tunaoitwa MATAGA kwa kuendelea kusimamia na kuamini maono ya hayati JPM tusiwe wanyonge.
Hiki ni kipindi cha mpito, acheni wabwatuke lakini muda si mrefu ukweli watajua nani ni mzalendo hasa wa nchi hii.
Yataibuka mambo mengi lengo ni kuharibu taaswira ya hayati...
Ili umpige mbwa mpe kwanza jina Chafu .Issue ya Bashiru iliniuma sana aisee.Hata kama ni chuki kwa hekina angemhifadhi hata nmiezi minne lakin hata matanga hatujaanua jamaa anatolewa tena kwa kudhalilishwa.
Sasa hivi mama anawasikiliza ukawa huko twitter,wao ndo wanapanga nani awe mkuu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.