Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana...
Ukiona manyoya ujue ameisha chinjwa
Fuga mwingine tu babu
Nadhani kichwa cha habari kinajieleza nilikua sijui kumbe alikua oil chafu tayari du !!! kiasi kwamba uchafu mwingine hawezi kuonekana kirahisi kwa sababu alikua ameshachafuka tayari