Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Dr. Bashiru juhudi zako unazofanya za chuki na hasira dhidi ya Rais wetu mpemdwa tukwambie tu unasumbuka sana.
CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.
Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.
Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.
Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.
CCM ni chama chetu, Tumekulia ndani ya CCM, tunazijua tamaduni zetu, tunazijua saisa za rough na nzuri za CCM. Tunakuhakikishia tu kuwa Rais Mama Samia Suluhu tunaenda kumpa Uenyekiti wa CCM kwa asilimia 100. Hakuna hata Mjumbe moja wa Mkutano Mkuu atamnyima Mama kura. Mama ni zao letu CCM na tunamjua.
Umekuwa ukifatiliwa sana mara kwa mara na tumegundua unafanya juhudi kubwa sana ili Mama asipata asilimia 100. Unasumbuka na unahangaika. Tarehe 30, April unaenda kupata pigo takatifu la Mwaka.
Ulibebwa na mfumo wa awamu ya tano, pamoja na kuwa You were outsider. Hukuijua CCM bali kwa muda uliokaa umekiua Chama kabisa. Sasa hili unalofanya huwezi kufanikiwa.
Tarehe 30, April 2021. Rasmi Mama tunaenda kumpa Chama ili naye akisuke mpya.