_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,409
- 7,399
Kwa nn mtu asingizie kuibiwa gari kisa kodi za TRA? kwan wakikuletea zile taarifa za kiasi cha kodi unachodaiwa afu we ukazopotezea na kukaa kmya watakufanya nn?Aidha aliyeimiliki na kuiuza kuna kodi zimeletwa kwa jina lake la umiliki wa gari ili hali alishaliuza kwa makubaliano kuwa mara baada ya mauziano abadili umiliki ila jamaa aliyenunua akaona haina shida akabaki nalo hivyo hivyo na kukataa kutoa ushirikiano kisha akaiuza. Mwisho wa siku lazima mmiliki wa kwanza aende polisi aseme imeibwa hiyo ndo mbinu pekee ya kumuondoa kwenye mzigo wa TRA. Hii inatokea mara nyingi sana hasa kwenye mfumo huu wa kidigitali.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app