Katika kuonyesha Utu na kujali Vijana wake, aliekuwa Mgombea Urais wa CHADEMA kupitia Mwavuli wa UKAWA Kamanda Edward Lowassa amewapa Mitaji Vijana wake waliohama Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Vijana hawa wakiongozwa na Rais Mstaafu wa Chuo Cha IFM na Mwenyekiti wa 4UMovement Taifa Hemedi Ali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.