zahra omari
Member
- Mar 2, 2015
- 21
- 5
Ukweli Mtupu
Mnaomtetea Muhongo leteni facts lipi jipya alilokuja nalo Prof zaidi ya vitisho tu. T?arifa ya Kamati ya Bunge PAC ilyokuwa inaongozwa na Zitto ilisema wakati wa mjadala wa escrow kwamba wakati Muhongo anamrithi Ngeleja hasara ya Tanesco ilikuwa shs 43bn tu wakati Prof anafukuzwa uwaziri hasara ya Tanesco ilikuwa imeshoot hadi shs over 460bn, mpo hapo watetezi wa prof?