Recent content by yusufu pongwa

  1. Y

    Nape Nnauye acha kusema uwongo, huoni aibu?

    binafsi nape namuona nimtu wa mipasho sana ni bora akajiunge na waimbaji wa taarabu tuu tujue wazi kuwa vidole juu ni kazi yake,huwa hana point hata siku moja nadhani imani yake ya hovyo anadhani upinzani ni uhadui tena ni muongo sana eti huduma za jamii hazihitaji katiba ni zero kabisa.
  2. Y

    Maandamano yasiyo na kikomo kufunga milango ya bunge yataongozwa na Deus Kibamba

    yote yanayojitokeza chanzo ni wananchi waoga na watanganyika wamelala usingizi mzito wanasubiri nabii issa aje kuwahamsha nchi imejaa viongozi walafi na wananchi wenye mahaba ya kweli kwa viongozi wao hata wachapwe makofi wao mambo ni saafi.kidumu chama cha mapinduziiiiiiiii.
  3. Y

    Yote yanayojitokeza nchini, chanzo ni wananchi wenyewe

    Tunashuhudia mapungufu mengi ya kifikra ktk bunge la katiba,tunashuhudia waziwazi wajumbe ktk kamati zile wakiweka mambo yanayowafurahisha wao na kuondoa yaliopendekezwa na wananchi mfano mbunge asiwe waziri,mbunge kuwajibishwa na wapiga kura wake kama akishindwa kutekeleza majukumu yake yote...
  4. Y

    Mhimili wa Mahakama pekee ndiyo utaokoa taifa kutoka madudu yanayoendelea BMK chini ya CCM

    mahakama za tanzania zinaendesha na fikra za viongozi waliopo madarakani binafsi sina imani nazo,anaeweza kukomboa mchakato wa katiba ni wananchi wenyewe tena wanaojutambua kama wazanzibari na wala sio watanganyika waliolala usingizi mzito.
  5. Y

    Wazee wa Dar es Salaam wawataka ukawa kurudi bungeni

    kwa nini hatusikii matamko dhidi ya ccm kujadili rasimu ya wananchi?wazee wa dar wanafiki
  6. Y

    Agustino Matefu hana hadhi ya kujibiwa na UKAWA

    sio muda wa kupumbaza wa tanzania tena tupo makini mbinu zite za zerikali ya kibabaishaji ya ccm zitagonga mwamba tu UKAWA TUNASONGA MBELE DAIMA
  7. Y

    UVCCM waivaa UKAWA

    lazima uelewe kuwa ccm ndio wasio taka amani ndani ya nchi yetu kwani mnajadili rasimu ya maoni ya watu gani kama maoni ya watanzania mmeyavuruga?takwimu unazotuletea hazina mashiko punguza kuchonga kwenye media huna mpya mawazo yako ni mgando.
  8. Y

    UVCCM waivaa UKAWA

    makonda ni mtumwa ndani ya ccm hana hoja
  9. Y

    Msimamo wa Ikulu wamchanganya Freeman Mbowe na UKAWA

    acha porojo kibaraka wa ccm
  10. Y

    GE2015 UKAWA kusimamisha mgombea Urais 2015

    chadema hiwezi kufa punguza mawazo mgando
  11. Y

    Walimu: Kongamano udsm hapo kesho, ccm itatutambua.

    sina hakika kama walimu wa nchi hii kama munaweza kufanya jambo kama hilo kwani walimu mumekuwa waoga sana hamjiamini kwani nyie ndo munailea ccm zaidi ya miaka ishirini sasa ccm na serikali yake haina mapenzi na walimu nchi hii ushahidi ni pale serikali inavyoacha kutatua matatizo ya msingi kwa...
  12. Y

    Imedhihiri: Tundu Lissu ni Adui Mkubwa wa CHADEMA

    Tundu lisu ni kiongozi mwenye akili sana na huwa hakurupuki,yote aliyozungumza ana uhakika nayo na wala chama chake hakiwezi kupoteza umaarufu eti kwa kuwaekeza ukwelu viongozi wa dini na waasisi wa nchi hii kwa matendo yao yenye hisia za kibinadamu na mapenzi yao kisiasa kwani nani haoni kundi...
  13. Y

    Hofu ya Mwigulu Nchemba ni hofu ya CCM?

    kwa mara ya kwanza namuona mwigulu akivaa koti la uzalendo hongera sana brother,sio siri siku zote nilikuwa na muona mwigulu wa chama cha mapinduzi kama kada halisi wa chama ambae kila wakati ni kutetea misimamo ya chama lkn kwa hili ni dalili njema kwa wanasiasa wetu kuweka maslahi ya nchi...
  14. Y

    Maoni ya Serikali tatu ni ya kishabiki na kinafiki

    kuondoa kero za muungano nani anaweza?muda gani kero zimedumu?nani mwenye nia ya dhati kuondoa kero hizo?jipime vizuri pia unazo element za uccm.
Back
Top Bottom