Recent content by yusoboy

  1. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Kwani ushajijua kama utafika uzeeni kabla hujafa na unavowaza kwenda kuzaa nje uko ushaongea na Mungu kwamba atakupatia uyo wa kiume
  2. yusoboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaopenda kulambwa mnatukosea sana

    Una adabu lakini kijana wewe nani kakwambia kama tunakosewa
  3. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania tusianze massive constructions of apartments nchi nzima?

    Ni wazo zuri ila shida inakuja kwenye uongozi kila unaoingia unakuja na miradi yake mipya sijui nchi haina mikakati yake ya kipaumbele
  4. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Nimekukumbuka Polepole: You made a terrible mistake!

    Subiri kwani polepole ndio yule jamaa alokua anajipost HAPA NI WAPI NAULIZA HAPA NI WAPI mukawa munampigia makofi na kumsifu kaishi urusi sijui cuba 🤔
  5. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Wanaoacha kutumia Sindano za Uzazi wa Mpango inawachukua muda gani kubeba ujauzito?

    Kwanza vipi ushawahi kuzaa Mshangazi mdogomdogo
  6. yusoboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta tiba kwa mwanamke ambaye hawezi kuingiliwa na mwanaume kimapenzi.

    Niunganishe na uyo dada ili nimfanyie dawa utanishukuru baadae
  7. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimfanyeje huyu kiumbe?

    Kwaio kuoga siku ya utelezi hadi utelezi tena
  8. yusoboy

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ofisini kwetu ujipatie Makonteina bora na ya kisasa

    Mimi nitakusaudia fully automatic twist lock bure ili ghorofa lijishikilie vizuri
  9. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Baada ya njia zote ya kistaarabu kufeli, Wapenda Mabadiliko fanyeni haya ili tupate Mabadiliko ya kweli

    Jihashuweni iyo siku ya uchaguzi ndio mutajua hamujui kwanza ccm atashinda mapema wakati munafanya maandamano pili mutalala vizuri kwa vigongo
  10. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Je, kuchanganya asali na limao kuna madhara?

    Nakumbuka shule kamba ilikua ukila asali na ndimu unakata moto kumbe ni bonge moja la dawa ya kifua 🤦🤦
  11. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Quran hii iliyoandikwa imetoka wapi wakati Muhammad hakujua kusoma wala kuandika?

    Itafika siku utamuomba ila utakua ushachelewa kama haitobadilika sasa hivi
  12. yusoboy

    JamiiForums Tanzania Quran hii iliyoandikwa imetoka wapi wakati Muhammad hakujua kusoma wala kuandika?

    Kitabu cha shetani na shetani akajilani kwenye kitabu chake mwenyewe 🤔🤔 akajisema kwa ubaya wake akawafahamisha waislamu jinsi ya kujikinga naye katika kitabu chake mwenyewe. Hii ni maajabu
  13. yusoboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Mpe talaka yake usijifanye hujasikia heri muwe na ugomvi halafu adai talaka unaweza ukavunga ila ukiona mwanamke anadai talaka na haujamkera kivile bora umpe maana tukio atakalokuchapa nalo hautakaa sawa tena
Back
Top Bottom