Alikiba hajui kuishi kistaa... star yoyote lazima ajionyeshe ye haoni hata wasanii wa nje wakina wizkid.. davido.. neyo.. wapo wengi tyu wanao jionyesha... hahah anataka ajenge ki gofu alafu atuambie anaishi nyumba ya kupanga... kwanza utaishije nyumba ya jupanga wakati pesa ya kujenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.