mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
Monicca wanaume wa siku hizi hawana shida ya kukuridhisha wewe. Hela akupe usafiri agharamie yeye, chakula, sehemu ya tukio pia. Wewe unakuja tu unavuliwa kisha unajilaza. Who are you. Wanaangalia self satisfaction. Ukiona amekuchafua yeye kasharidhika na kupata alichotaka. Hataki la zaidi. Wewe ndio uende pengine ukapigwe tena na hiyo ni none of his business. Ukicheche ni wako. Every man for himself. Labda uwe mke ndio utaridaahishwa. Majira yanabadilika. Wewe baki kusema nguvu hakuna tu. Wanaume siku hizi hawapendagi ujingaWanaume wengi wanakumbwa na tatizo la nguvu za kiume, unakuta mtu anahangaika kutongoza kweli atakuhonga wee mpaka unamkubalia.
Kipindi anakutokea atajisifu kwamba Show anaiweza ukikubali mkaenda faragha kidude chake kinakuwa kama kina kifafa Hakisimami sawasawa na akikachomeka tu kameshamwaga wakati wewe hata hisia hazijaja unaishia kuchafuliwa, hapo hata ukachezee vipi hakasimami tena. Looh acheni kupiga puli zinawaumbua.