Mh bora nimepita huku nimeelewa hata siendi tena shule nilichokipata form four kinisaidie tu kupanga vitu kichwani nisilale njaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu yani unapoingia kufanya pepa wewe tayari ni mheshimiwa ko lazima bodyguard awepo kulinda usalama wako make taifa linaimarisha ulinzi kwa zao lake tegemewa coz inasemekana wew ndo unatakiwa kuwa kiongoz bora baada ya hapo! Closed
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mmenikumbusha kuna mkuu msaidizi wa shule fulani niliposoma advance yani anapenda sana kuongeza "h" hadi maana ya neno inaharibika kabisa.ukisikiliza speech yake kiukweli kama una njaa unaweza kulia.jamaa katoka kwa akina ebitoke
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.