Recent content by Yule boi

  1. Y

    Naomba ushauri wa kujiendeleza kozi ya nursing

    Dah wasomi wanakatisha tamaa sana yani sio ajira sio mkopo sio mazingira yani vyote xhda tu Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Y

    Naomba ushauri wa kujiendeleza kozi ya nursing

    Mh bora nimepita huku nimeelewa hata siendi tena shule nilichokipata form four kinisaidie tu kupanga vitu kichwani nisilale njaa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Y

    Umuhimu wa bunduki kwenye vituo vya mitihani

    Mkuu yani unapoingia kufanya pepa wewe tayari ni mheshimiwa ko lazima bodyguard awepo kulinda usalama wako make taifa linaimarisha ulinzi kwa zao lake tegemewa coz inasemekana wew ndo unatakiwa kuwa kiongoz bora baada ya hapo! Closed Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Y

    Natafuta mwalimu Wa kijerumani

    Dah mmenikumbusha kuna mkuu msaidizi wa shule fulani niliposoma advance yani anapenda sana kuongeza "h" hadi maana ya neno inaharibika kabisa.ukisikiliza speech yake kiukweli kama una njaa unaweza kulia.jamaa katoka kwa akina ebitoke Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Y

    MKOPO DIPLOMA

    Na zile tetes mtandaon kwamb helsb walitaka kutoa mkop then wakapga chini walilenga diploma gani
  6. Y

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    [emoji3][emoji3] watu wa dizaini yako mnawatesaga Sana jamaa wanao burn music kwa kompyuta
  7. Y

    MKOPO DIPLOMA

    Thanks mkuu
  8. Y

    MKOPO DIPLOMA

    Wakuu naomba msaada eti zile fununu za diploma kupewa mkopo walimaanisha ni kwa diploma wanaoenda degree au wanaoanza diploma?? Naomba kusaidiwa
  9. Y

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    zima simu[emoji3][emoji3][emoji3]
  10. Y

    Eti huku JamiiForums mbona kila mtu ni mkuu! Mna maana gani?

    Chuo [emoji16][emoji16][emoji16]
Back
Top Bottom