Mirija inazibuliwa na uwezekano wa kupata mtoto ni mkubwa kuliko IVF mimi nilizibuliwa mirija na sasa nina watoto usiogope operation haiumi nenda Muhimbili wakawaone mapingwa wa akina mama utasaidiwa
Mimi ni binti wa miaka 20 nimekua na tatizo kutopata siku zangu kwa miezi 4 sasa na nikashauriwa kupima Hormones na nikapewa dawa ! Ajabu ni kwamba baada ya kutumia dawa nimepata siku zangu za hedhi kwa miezi 2 na mwezi uliofutaia zikaja kidogo sana kwa siku 1 tu ya pili zikapotea je tatizo ni...
UDSM ni chuo kikubwa sana na hakistahili kufanya haya ,nimeshangazwa sana tena sana kama Mzazi hivi chuo kama UDSM ambacho tulitegemea kua Walimu wako makini kumbe na wao pia wanatengeneza mazingira ya rushwa!! Nakumbuka marehemu Rais wetu Aliwahi kuwaasa walimu kuacha kutengeneza mazingiro ya...
Naomba kuuliza, TCU ilitoa fursa kwa wale wa Mwaka wa kwanza kubadilisha Program zao kwa wanaotaka, hadi leo hakuna majibu na Masomo yanaendelea , hivi kweli yatakapotoka huko anakotoka kuhamia ataweza kuyaelewa kama hakuanzi program mwanzoni na ni Kwanini UDSM haitoi majina ili wanaotaka kuhama...
Hivi ujui kazi yeyote ina utani ndani yake na kwa uziefu wangu wale wanaojifanya watakatifu kama wewe ndiyo hasa wabaya na wanafki sisi tunamwelewa Mwenyekiti Hoyeeee .
Uwezi kukaa na Mwanamke wa namna hii kwenye ndoa miaka yote achana naye utakavyozidi kukaa naye na mateso yatazidi, Mtoto utampelekea matunzo huko kwao
Poleni sara mnarefusha alafu baadae zinapinda zinaleta shida kuingia zimepinda haazina nguvu hata ladha hakuna fikirieni kabla ya kutenda mnakurupuka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.