Vyumba na hostel za nje kwa vyuo vya UDSM, NIT, Water Institute na Ardhi University

Mjuzi Wenu

Senior Member
Nov 18, 2017
108
100
Kutokana na maswali mengi kwa wanafunzi wanaotarajia kuanza vyuo mbali katika jiji la Dar es salaam watakaotafuta hostel za nje pamoja na vyumba kwa wale wote watakaokosa au kutohitaji hostel za chuoni hivyo nimeona nije kutoa msaada kwa wanafunzi wenzangu hususani kwa wale watokao mikoani ili kuepuka usumbufu mbalimbali utakaopelekea kupoteza baadhi ya vitu vyao, hivyo basi vyumba na hostel za nje vinapatikana karibu na mazingira ya vyuo vilivyotajwa hapo juu nina uzoefu wa miaka mitatu katika mazingira ya vyuo vifuatavyo

- UDSM
- NIT
- Water Institute
- Ardhi University

Nakaribisha wanafunzi wote watakaohitaji.

Pia nakaribisha maswali mengine yanayohusiana na vyuo.
 
Da jamaa una mbinu kali za kuwaopowa mabinti waliotoka A Level

kila mtu amepew alili na mawazo yake so siwez kupinga mawazo yako ila nipo ili kuwasaidia vijana wenzangu hususani watokao mikoani mana si kila mtu mwenye ndugu apa dsm mana hata mimi nilipata shida miaka mitatu iliyopita pindi nilipokuja kuanza chuo so nisingependa wengine pia wateseke
 
kila mtu amepew alili na mawazo yake so siwez kupinga mawazo yako ila nipo ili kuwasaidia vijana wenzangu hususani watokao mikoani mana si kila mtu mwenye ndugu apa dsm mana hata mimi nilipata shida miaka mitatu iliyopita pindi nilipokuja kuanza chuo so nisingependa wengine pia wateseke

wewe sio serikali kama hupendi wateseke walipie na ada baasi
 
Achana nae mkuu. Watu wa namna hii hawakosekanagi

kweli mkuu mtu unaweza ukawa na lengo chanya kwa watu ulio walenga ili kuwarahisishia kitu flani then akatokea mtu kuwavunja moyo au kutoa fikra zake hasi kwakuwa tuu yeye ni mtu wa tabia hizo
 
Write your reply... Hivi naweza pata chumba cha kupanga maeneo ya survey kwa bei ya 30,000 Tshs ?
 
Write your reply... Hivi naweza pata chumba cha kupanga maeneo ya survey kwa bei ya 30,000 Tshs ?

kwa hiyo bei huwezi kupata hata kwa elfu hamsini huwezi kupata pia katika hiyo sehem hii ni kutokana na uwepo wa wanafunzi wengi kutokana na uwepo wa vyuo vingi labda kwa elfu 70 pia niwie radhi kwa kuchelewa kujibu ujumbe wako ila nadhani tunaweza kuwasaidia watu wengine kupitia ujumbe huu
 
Back
Top Bottom