Kwanza naanza kwa kuwapa pole na majukumu ya kila siku wana jamii wote, ivi hii tabia ya watoto Wachanga kukataa kunyonya maziwa ya mama na kunyonya vidole inasababishwa na nini??.. Msaada wadau!!!
Katika pitapita wadau apa mjini nimeona kitu fulani cha tofauti kidogo kwa wakazi wa Dar. Yani ukikaa foleni kila baada ya gari moja au mbili inafata toyota IST.
Hivi hili ongezeko la hizi gari ni ugumu wa maisha watu hawana hela ya mafuta ya kuendesha gari nyingine?
Kwani nasikia inakunywa...
Thus y Africans w'll never make it..yan mtu unashindwa kuji appreciate mwenyewe unategemea nani atakukubali???...plz romve that regacy JPM uko sawa... #asiye kukubali hawezi kukubali hata ufanye nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.