Recent content by youngprofesor-

  1. Y

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    With aid of diagram show me how will you solve obstacle of river during chain survey.please help me this question any one Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
  2. Y

    Walimu wa masomo ya sayansi jitathimini

    ELIMU BORA =MASLAHI MAZURI YA WAALIMU+MAZINGIRA MAZURI YAKUFUNDISHIA NA KUJIFUNZIA+VITENDEA KAZI VYA KUJIFUNZIA NA KUFUNDISHIA+SERA MZURI YA ELIMU ISIYOFUNGAMANA NA SIASA+WAZAZI KUTIMIZA MAJUKUMU YAO KWA WATOTO.Hakika elimu ni cycle yenye process tatu INPUT+PROCESSING +OUTPUT,Hivyo...
  3. Y

    Majina ya Uhamisho wa walimu yanatoka lini ?

    Just relax end of this January everything will be openly,be patient
  4. Y

    Uzi wa kutafutana waliopoteana kwa muda mrefu

    Nawatafuta Richard kasembe,James John,farida muhidini,hamis chautundu athumani,medard sowani ni classmate want popote walipo wanichek Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
  5. Y

    Ushauri wenu wakuu: Mchepuko anataka kuishi na mimi

    Ukshsem mchepko maan yke ni mbadal wa njia kuu n kun sabbu za kuwep kw mchepk ht brbrn mchpko unkuwp lbd brbr inamatngnezo lbd kun shd fln nk ht wanwak n hvy hvy ,kw ufup mchpko ni km sub Kwny mpira maan yk anawaombea mabay wachzaj waliok Kwny uwanj au mech il apt nfas n yy ykuingia kwny game...
  6. Y

    Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

    Maguful n nyerere ni viongoz wazur kwanz wanasifa kuu ya kiongoz ambyo ni ujasiri,unpokua kiongoz Kuna wengn wankuj kukujrb il wakuarbie mfum wako Lin ukiw n msimamo wenyew wankua mbl n we,tukae tukijua kil jmbo linabarak kutk kwa mung nyerer mung alimjalia kuongz Tanzania kwa kpnd kil ili...
  7. Y

    Ushauri kwa Serikali: Mtu anayepinga tozo na kodi kwa maendeleo ya Taifa akamatwe

    Tatizo rasilimali zipo nying hazisimamiw ipasavyo kukusanya kod kwa faida ya taifa Bali mwananchi ndiy anabeba mzigo wote wa tozo hali yakua Kuna inflation kubwa ya bidhaa,lakin pia hakuna usimamiz mzr wa fedha zitolewazo kweny mirad mbali mbali Kuna inch wanahitaji hat wangekua n bandari mija...
  8. Y

    Mkuu wa Polisi rudisha Askari barabarani, Watanzania watakwisha kwa ajali

    Mtanzania ukimpa uhur hajui kutumia vzr,kpnd ch nyuma madereva wakiendesh kwa hofu kuogopa toch mpaka wanadownload app za kuchek wap Kuna toch kwnye cm zao,Sasa hv hawaogop chochote hvyo ajali kwa staili hi haziepukiki,mtanzania anapenda umuongoze kwa vitisho awe na hofu atakua muangalifu na sio...
  9. Y

    Natamani viongozi wote wa mataifa ya Afrika waiunge mkono kauli ya Nana Akufo Ado

    Read the poem to see the impact of Africa colonization
  10. Y

    Natamani viongozi wote wa mataifa ya Afrika waiunge mkono kauli ya Nana Akufo Ado

    Kabla hawajalipa bara la Africa inabidi elimu zote vichwan mwa wa Africa ziondolew waafrica wabaki na akili zakuzaliwa nazo tu pamoja na viongozi wake I'll tuanze moja kuijenga africa
  11. Y

    Natamani viongozi wote wa mataifa ya Afrika waiunge mkono kauli ya Nana Akufo Ado

    AFRICA WE ARE POOR BECAUSE WE CHOOSE TO BE POOR
  12. Y

    Anaomba Ushauri: Amemfumania mke wake, amemsamehe Ila bado moyo unauma

    Kumsameh mwananke mzinifu ni saw kuacha sindano inayoelekea kwenye jicho lako mda SI mrefu ltakufany uwe kipofu
  13. Y

    Mmeshimiwa Rais iangalie upya wizara ya fedha kabla jahazi halijazama kabisa

    Kiukwel hakuna uhakika na udhibiti wa fedha zitolewazo n selikali kwenda kwenye miradi nying zinapotea,hii inajidhihirisha pale ripot ya CAG ya kila mwaka anavyovumbua madudu katika kaguzi zake,selikali inajitahd kukusanya lakini pia usimamiz wa hzo fedha n mdogo,pia adhabu zitolewazo kwa...
  14. Y

    Mungu yuko wapi?

    Majibu ya mungu ni nan yuko wap yapopande mbili kisayansi na kiroho,kisayansi mpaka leo Wana UNANSWERED QUESTION y juu ya mungu na uwepo wake ila mungu yupo na ndie anaesababisha ucku na mchana,kiangazi masika,kucontro moyo oxygen in na carbon out,hvyo ukitafakari saaaaaaaana juu ya mungu...
  15. Y

    Dkt. Msonde alistahili kuondolewa Baraza la Mitihani (NECTA)

    Mapungufu anayo lakin kwa kias kikubwa amejitahidi sana kufanya kaz vizur pale necta
Back
Top Bottom