Kwa bahati nzuri nilifika ofisini ya wizara ya elimu tena kipindi kile wizara ya elimu iko Magogoni (Obama) road nikifuatilia scholarship ya kwenda Russia masomoni ndipo nilipopamba na Mr Msonde kwa ukweli mtu mzuri ila kwa siku chache nilipokuwa nafuatili pale niligundua kama ni opportunist kama wengine.
Kwa sababu zifuatazo
1. Kutumika na wanasiasa tumeona wakati wa Magufuli akizitangaza shule za Chato kuongoza kitaifa na kuzusha maswali mengi juu ya weledi wake.
2. Kuamua kwamba wanaosahihisha mitihani hawatobadilishwa ni wale wale mpaka wastaaafu au wafe hii ni dosari kubwa sana katika utumishi wake pale NECTA, kwani watumishi wengine yaani waalimu wasingesahiisha mpaka wanastaafu.
3. Alileta mkanganyiko mkubwa sana kwenye mitihani iliopita baada ya maafisa elimu kupendekeza majina ya wasimamizi na yeye akateua wasimamizi kwa kuwatumiwa ujumbe kwenye simu.
4. Hata hii mitihani ya form six inayorndelea kuna walimu wa diploma wanawasimamia kidato cha sita kutoka shule isiyokuwa na kidato cha sita.
5. Pia kupokea mrungula kwa baadhi ya shule ili kuzifanya kungara na kufanya biashara zaidi.
6. Kusimamia Utungaji wa mitihani yenye kiwango cha chini mfano darasa la saba mitihani ya kichagua majibu mitihani yote pia na mitihani husaihishwa na wanafunzi waalimu walioko vyuo vya ualimu.
5. Kuamini kwamba anaeza kufanya kila kitu peke yake na hivyo kupelekea maamuzi kuwa ya upande mmoja.
6. Mwisho kupendelea upande mmoja hususani kwenye matokeo.
Mwisho ila sio kwa umuhimu nimeona watu wanajadiili NECTA itapwaya huyu amekwamishwa mabsdiliko ya mitaaala.Wanafunzi wetu lazima wafundishwe na nyezo nyingine za maisha ili wanapokosa ajira wasilalame
Kwa sababu zifuatazo
1. Kutumika na wanasiasa tumeona wakati wa Magufuli akizitangaza shule za Chato kuongoza kitaifa na kuzusha maswali mengi juu ya weledi wake.
2. Kuamua kwamba wanaosahihisha mitihani hawatobadilishwa ni wale wale mpaka wastaaafu au wafe hii ni dosari kubwa sana katika utumishi wake pale NECTA, kwani watumishi wengine yaani waalimu wasingesahiisha mpaka wanastaafu.
3. Alileta mkanganyiko mkubwa sana kwenye mitihani iliopita baada ya maafisa elimu kupendekeza majina ya wasimamizi na yeye akateua wasimamizi kwa kuwatumiwa ujumbe kwenye simu.
4. Hata hii mitihani ya form six inayorndelea kuna walimu wa diploma wanawasimamia kidato cha sita kutoka shule isiyokuwa na kidato cha sita.
5. Pia kupokea mrungula kwa baadhi ya shule ili kuzifanya kungara na kufanya biashara zaidi.
6. Kusimamia Utungaji wa mitihani yenye kiwango cha chini mfano darasa la saba mitihani ya kichagua majibu mitihani yote pia na mitihani husaihishwa na wanafunzi waalimu walioko vyuo vya ualimu.
5. Kuamini kwamba anaeza kufanya kila kitu peke yake na hivyo kupelekea maamuzi kuwa ya upande mmoja.
6. Mwisho kupendelea upande mmoja hususani kwenye matokeo.
Mwisho ila sio kwa umuhimu nimeona watu wanajadiili NECTA itapwaya huyu amekwamishwa mabsdiliko ya mitaaala.Wanafunzi wetu lazima wafundishwe na nyezo nyingine za maisha ili wanapokosa ajira wasilalame