Recent content by young prof

  1. Y

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Natafuta wimbo unaitwa 'Mahali ni pazuri' umeimbwa na Upendo & Amon Kilahiro
  2. Y

    Titanic sunk by steering mistake, author says

    http://en.m.wikipedia.org/wiki/RMS_Titanic
  3. Y

    Mtaalamu wa Excel VBA

    Nitume wapi sasa mkuu
  4. Y

    Mtaalamu wa Excel VBA

    Wakuu naombeni mtu mwenye utaalamu wa coding kwenye VBA anisaidie jambo,nimejaribu ku attach file hapa nimeshindwa,ni word document na excel-macros enabled document.Kwa atakaekuwa tayari naweza kumtumia email. Thank you.
  5. Y

    Bongo Movie Filamu million 8 kwa miaka miwili

    Me sijaona sehemu Zitto ameandika filamu,amesema "kazi za wasanii",na hizo kazi zipo nyingi sio filamu tu
  6. Y

    Samsung galaxy s3 mini(original) inauzwa

    Simu tajwa hapo juu inauzwa,almost new,imetumika miezi mitatu tu. Features kwa ufupi ina 1gp ram,8gb internal memory,front camera,pia ina screen protector, no scratches. Bei tshs 280000. Kama upo interested ni pm.
  7. Y

    msaada; wataalam wa kuagiza magari trade car view

    Wasalaam naombeni uzoefu kidogo kama cif imeanzia usd 4300 kuna uwezekano wa kubagain nae mpaka ngapi?kama ni gari ya mwaka 97 (rav 4 ile ya zamani),cc 1980 mileage km 80000 mpaka inatembea barabarani hapa bongo niandae kama shs ngapi? kampuni ni real motor japan
  8. Y

    UDSM chapaa Afrika;sasa cha sita!

    "Being the 4icu.org University Web Ranking a non-academic ranking, the need for ranking methodology transparency and the ability of testing and reproducing the results, as suggested by the Berlin Principles on Ranking of Higher Education Institutions, is less stringent than for academic...
  9. Y

    Airtel na kifo cha Sharo Milionea

    sioni tatizo,kwanza nina uhakika kuna maongezi yameshafanyika btn airtel na familia ya marehemu kwa kipindi hcho ambacho tangazo lilikuwa limesitishwa,familia itakuwa inanufaika. kuhusu contract kipindi kile cha msiba niliwahi kumsikia mzee majuto akisema yeye na sharo walikuwa na kampuni yao...
  10. Y

    BB Help!

    Mkuu Morphine jibu zuri,haya ndo matumizi mazuri ya JF
  11. Y

    Msc.Finance

    Shukran sana mkuu,mm naona bora Msc finance coz ntabak na utaalam utanisaidia hata kwenye ishu alizosema mkuu pale za consultancy,MBA system zetu hzi unaweza hzo senior positions usiziguse mpk unastaaf
  12. Y

    Msc.Finance

    Mkuu nashukuru umefaulu mtihani wa kuelewa swali,ingawa kwenye jibu sina uhakika sana
  13. Y

    Msc.Finance

    Poa sana mkuu,pamoja sana
  14. Y

    Msc.Finance

    Nashukuru sana mkuu,umenisaidia,na vipi soko lake o reputation yake hyo masters ukiachana na kukuongezea uwanja mpana wa kujiajiri?
  15. Y

    Msc.Finance

    Pamoja mkuu,lakin vp marketability yake kwenye soko la ajira hapa bongo?compared na mtu kuchukua masters labda in marketing au HRM
Back
Top Bottom