Afisa ubashiri wenzangu, msimu uliopita timu nyingi zilizokua Zinaanza na herufi A hazikuwa serious.👇
Acmillan
Ajax
Atlanta
Arsenal
Atlteico Madrid. tena huyu jana kaanzia alipoishia msimu uliopita
hapana sina mchezo wowote wa kutafuta hela ya bure humu, kipindi kile nilikua bado nipo kazini japo Mambo yalikua yashaanza kuyumba. na sijawahi pokea hela yoyote humu. Nimekutag kama appreciation
Habari wana jamii forum,
niende kwenye mada, nina miaka 29 nilikua ninafanya kazi taasisi binafsi bahati mbaya ofisi yetu ilifungwa.
Baada ya ofisi kusimama nilizidi kupambana kutafuta sehemu nyingine kwa kuhudhuria interview tofauti tofauti lakini sijabahatika kupata.
Humu jamii forum kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.