Recent content by yohana maugila

  1. Y

    Kamishna TRA agoma kuhojiwa anayedaiwa kupokea Sh. Milioni 80.8 katika sakata la Escrow

    Wafanye wawezavyo sasa lkn ipo siku watakujakujuta pale kubebanabebana kazini kutakapotoweka
  2. Y

    Nape: CHADEMA wajiandae kuingia msituni

    Ndo tatizo la pombe ya maji alokunywa nape ikiyeyuka analewa upya kinachofuata ni kuropoka.
  3. Y

    Vijana wa CHADEMA wana uwezo mdogo sana

    Jitahidi muda siyo mrefu utaanza kuitwa mheshimiwa.
  4. Y

    Pigo la tatu kwa Lowassa, bado la Mwisho mwezi Mei

    Pole lowasa labda huna nyota ya kuwa Mkuu wa kaya tambua kuwa pesa zako zitaliwa then unakosa.
  5. Y

    Kwa mwenye uelewa kuhusu soko la Kahawa ambayo haijabanguliwa Kenya

    Kwa mwenye uelewa kuhusu soko la Kahawa ambayo haijabanguliwa Kenya. Soko la Kahawa Kenya.
  6. Y

    Watu wanne wahukumiwa Kifo kwa kumuua Albino

    Wachunguzwe kwa kina kuwa nani kawatuma kwani Kama nzi wamepatikana basi wawafuate ili kionekane kinyesi kiliko Yaani wanaowatuma kutafuta hivyo viungo
  7. Y

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Hata tukiwasiliana na nyie ni yaleyale tu hakuna unafuu Pamoja na kuwa kampuni yenu inapendwa na wengi ila madhaifu yenu ndo ambayo makampuni mengine yatatumia kuwanyang'anya Wateja.
  8. Y

    Rais Kikwete azuia mawaziri kutoka nje ya Dar

    Asante kwa kutujuza.
  9. Y

    Dr. Slaa amechuja sana kisiasa

    Hapana siyo kama speed imepungua ispokuwa wapinzani wao wamekuwa wengi siyo ndani ya chama wala nje yachama hali kadhalika na wahusika wa huo ufisadi pia kwa hiyo mpaka kuja kulipua bomu lazima wawe wamepata ushahidi wa kutosha. HATA MIMI SIYO SHAHABIKI WA VYAMA.
  10. Y

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Voda nyinyi ni wezi sana na laiti kama hao wahudumu wenu nilioongea nao tar 22 na 23 wangekuwa karibu ningewazaba vibao wanavunga wanajua kumbe hawajui yaani nyie ni wezi nyie ni maescrow kabisa mnatuibia hela zetu makusudi tukiwapigia na vielelezo kamili mnabisha tu acheni hizo hata Sisi tuna...
  11. Y

    Aliyepoteza huu Mzigo tafadhali anitafute haraka

    Ubarikiwe sana kwa moyo wako mkuu
  12. Y

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Soko ni kubwa mno kk
  13. Y

    Ufisadi wa kutisha vodacom

    Hata mm waliniibia pia ni week sasa wananitumia mimeseji yao sasa hata kuwapgia wamenilimit yaani Hawa ni wezi kweli aisee
Back
Top Bottom