Wakuu Mimi niliachwa na demu baada ya yeye kufika chuo mzumbe akatafuta mwanachuo mwenzake Mimi nikabak solemba mtaani kwangu,,yangu apo nikaona njia bola ya kumsahau ni kufanya kazi kwa bidii kutafuta maokoto
Wakuu Mimi niliachwa na demu baada ya yeye kufika chuo mzumbe akatafuta mwanachuo mwenzake Mimi nikabak solemba mtaani kwangu,,yangu apo nikaona njia bola ya kumsahau ni kufanya kazi kwa bidii kutafuta maokoto
Daaah nakaa Karib na wauni sasa ikifika jion wanavuta bang zao kwenye maskani yao na maskan yenyewe IPO Karin na dirisha langu moshi mwingi unaingia ndani kwangu kuwaambia nashindwa nabak tuu naugulia moyoni
Wakuu Mimi ninawazo LA kukomesha ubinafsi unaozaa wizi na ufisadi kwenye hii nchi,,kungepitishwa sheria ya mtu akibainika anaibia serikali kama wanavyo Fanya wakurugenzi wa idala kama tanesco na reli basi azabu yake ataifishwe mari zake zote na kunyongwa azalani..sababu wanaibia serikali...
Duuuuuh atari sana,kama wanataka tujiajiri kwa kulima nyanya na kufuga kuku mbona vyuoni na shuleni wanatufundisha masomo mengi ambayo ayausiani na maisha harisi?ni kupotezeana muda afazari tungefundishwa kitu kimoja kulingana talent ya mtu ili kuepuka ili tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.