Rushwa kwenye usaili

Rushwa kwenye usaili

Kuna Interview moja nilienda Moro Kampuni X, tulikua kama 30 ivi tulioitwa Kwenye usahili.... Binafsi nilifika mapema sana eneo ambalo tunafanyiwa Interview kama saa Moja asubh.

Kisanga kilianza hapa, watu tumefika tangu asubh alafu kamekuja kabinti kamoja tena kwa kuchelewa mida ya saa 6 mchana, msimamizi akamwambia akitoka mtu ataingia Yeye... Wtf, nilimaind Sana lile tukio, hata kama kubebana sio lazima mtuonyeshe.

Mpaka nakuja kuingia Mimi ilikua saa 8 mchana.

NB; Na Kazi nikakosa vile vilee nazani kalipata kale kadada...
 
Kuna Interview moja nilienda Moro Kampuni X, tulikua kama 30 ivi tulioitwa Kwenye usahili.... Binafsi nilifika mapema sana eneo ambalo tunafanyiwa Interview kama saa Moja asubh,

Kisanga kilianza hapa, watu tumefika tangu asubh alafu kamekuja kabinti kamoja tena kwa kuchelewa mida ya saa 6 mchana, msimamizi akamwambia akitoka mtu ataingia Yeye... Wtf, nilimaind Sana lile tukio, hata kama kubebana sio lazima mtuonyeshe.

Mpaka nakuja kuingia Mimi ilikua saa 8 mchana.

NB; Na Kazi nikakosa vile vilee nazani kalipata kale kadada...
Pole mkuu. Wa kwanza atakuwa wa mwisho afu Ng'ombe wa maskini hazai aseee
 
Habari za saiz wadau,

Hivi ni kweli swala la rushwa lipo wakati wa usaili wa kupata kazi? Yaani kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa au kutoka kwa mwajiriwa kwenda kwa mwajiri? Mfano wa rushwa izo ni ngono na pesa ili mtu apate kuajiriwa, hii kitu bado ipo kweli wanaJF?
Karibu tujadili.
Labda kwenye taasisi nyingne ila sio utumishi WA umma
 
Ipo sana mkuu, juzi juzi nilipiga interview kwenye kampuni X fresh tu, za ndani kabisa nikasikia watu walio itwa kazini wanajuana na baadhi ya watu wa ndani.

So hapo mambo hela yalihusika hata kidogo, sasa najiuliza kwa nini wanafanya ivyo kama wana watu wao si wawaite tu kazini, kuliko kuita watu kwenye interview wapoteze pesa na muda wao.

"Rushwa ni adui wa haki kweli, lakini ukikaa kwenye nafasi zao utajua jinsi gani wanavyo pambana na vishawishi, hao wenyewe mishahara yao haitoshi kazi kweli kweli au unakuta pisi kali inakutunuku mzigo kisa kazi wengi wanapita nao"

Tujiombee na pia tuwaombee watoa ajira hii vita ni kubwa haina wa kuishinda hivi hivi bila mungu.
 
Dah!! Nipo najiandaa kwenda kwenye usaili ila napata mchecheto maana tupo zaidi ya watu 200 afu tunawania nafasi moja, can you imagine!!
Siwezi kwenda maana naweza kupoteza Hela na muda wangu
 
Back
Top Bottom