Nikweli kabisa, toka nianze kujitambua kua na mm ni mfanya biashara sijawahi kuona mtu anaona umhimu wa kutoka kilometres 90 kuifuata ofice ya T.R.A ila kwa utawala wa Mh: mwamba wa Miamba watu wanapanga fuleni bank kama kuna msaada wa pesa..mtu anakumbuka kulipa kodi kuliko kodi ya kupanga...
Kaak pole sana...tafuta dawa zipo za kuweka sawa unakua na Big pin..
Nawenzetu wanapenda ndefu nene na isimame balabala kama msumali..sasa unakua kibamia halafu legelege hapo balaa hilo utatangazwa mpaka mkoa mwingine.
Kaka mkubwa huyu tayari hafai maana hapo tu ndo mwanzo mmeoana je!! Ogopa sana mwanamke wa kasumba hiyo sasa huyo mkifunga ndoa na akiwa tayari ni mfanya kazi yaani utaishi maisha kama vile ww ndo umeolewa..
Uko sahihi mkuu sema wengi hatujaelewa vzr maana taarifa ta awali niliona ikisema kwamba, derever wa Malima alikua ameegesha halafu hashuki wananchi wa eneo hilo walipata wasiwasi nakufikili labda ni majambazi.
Njema zaidi muhusika angejitokeza na kutoa ya moyoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.