Nunua treasury bonds,baada ya 6 mnth unapata kuanzia 15%,tena nzuri km ukinunua bond ya 10m,10m,10m ndani ya miezi yote 12,means unawekeza 120m ktk miezi 12,so una uhakika wa kupata 1.5m kila mwezi,na ukichoka unaweza ziuza pia.Hati fungani ndio njia nzuri zaidi ya kupata pesa.Tembelea website...