Wapendwa katika bwana najua kuna ma IT humu au yoyote ambae anajua hii issue msaada please.
Kuna rafiki yangu akipandisha maombi ya kuhama kwenye ESS hayaonekani kwa mkuu wake wa idara, shida inakua nini?
Mind you amekidhi vigezo vyote mana ana 5years and abover kwenye working station yake
Yani mtu akiwa na vpn kwa iphone na iko on (say turbo,secure vpn etc)
then aseme awashe hotspot kwa vifaa vyake vingine say tv, pc au hata kumhotspot mtu mwingine inakataa
Yes unaweza badili line yako ya yas kuwa unlimited bt kama uliunganisha postpaid unatakiwa ujiondoe kwanza.
NB: line ikiungwa unlimited huwezi pokea calls wala huezi piga wala txt unakua unaitumia kwa data
Anha okyyy asante sana boss, mana wasi wasi wangu ulikua kwenye UNLIMITED YA KWENYE LINE BILA ROUTER sijawahi sikia ndo mara ya kwanza so nikawa na doubts
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.