Recent content by yesamrich

  1. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali iwezeshe Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika Halmashauri zeto. Sio inakuwa Idara ya Mapato ya Leseni na Vibanda tu

    Wizara imetupa meza na viti, nashauri nxt time tupewe na magari ya idara jamani
  2. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wapendwa katika bwana najua kuna ma IT humu au yoyote ambae anajua hii issue msaada please. Kuna rafiki yangu akipandisha maombi ya kuhama kwenye ESS hayaonekani kwa mkuu wake wa idara, shida inakua nini? Mind you amekidhi vigezo vyote mana ana 5years and abover kwenye working station yake
  3. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yani mtu akiwa na vpn kwa iphone na iko on (say turbo,secure vpn etc) then aseme awashe hotspot kwa vifaa vyake vingine say tv, pc au hata kumhotspot mtu mwingine inakataa
  4. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yes unaweza badili line yako ya yas kuwa unlimited bt kama uliunganisha postpaid unatakiwa ujiondoe kwanza. NB: line ikiungwa unlimited huwezi pokea calls wala huezi piga wala txt unakua unaitumia kwa data
  5. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Chief me naomba kujua why iphone ukiwasha vpn huwezi hotspot Kuna njia ya kubypass?
  6. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Namimi nakupa feedback mkuu, nimefanikiwa unlimited ya sim card ya tigo mana router kuibeba kila sehem mtihani kwakweli
  7. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Anha okyyy asante sana boss, mana wasi wasi wangu ulikua kwenye UNLIMITED YA KWENYE LINE BILA ROUTER sijawahi sikia ndo mara ya kwanza so nikawa na doubts
  8. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna mtu alinishawishi kujiunga unlimited kwenye line ya sim yani bila kuwa na router. Una experience na hyo kitu, risk zake
  9. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣ah wapi ni mwendo wa kuhama halmashaur moja kwenda nyingine Kama una connection ya taasis naomba bas🌚
  10. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Thanks♥️, ndo inakua after 4yrs?
  11. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    hivi qualificafions za TGS E ni zipi?
Back
Top Bottom