Recent content by yesamrich

  1. yesamrich

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wapendwa katika bwana najua kuna ma IT humu au yoyote ambae anajua hii issue msaada please. Kuna rafiki yangu akipandisha maombi ya kuhama kwenye ESS hayaonekani kwa mkuu wake wa idara, shida inakua nini? Mind you amekidhi vigezo vyote mana ana 5years and abover kwenye working station yake
  2. yesamrich

    KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yani mtu akiwa na vpn kwa iphone na iko on (say turbo,secure vpn etc) then aseme awashe hotspot kwa vifaa vyake vingine say tv, pc au hata kumhotspot mtu mwingine inakataa
  3. yesamrich

    KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yes unaweza badili line yako ya yas kuwa unlimited bt kama uliunganisha postpaid unatakiwa ujiondoe kwanza. NB: line ikiungwa unlimited huwezi pokea calls wala huezi piga wala txt unakua unaitumia kwa data
  4. yesamrich

    KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Chief me naomba kujua why iphone ukiwasha vpn huwezi hotspot Kuna njia ya kubypass?
  5. yesamrich

    KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Namimi nakupa feedback mkuu, nimefanikiwa unlimited ya sim card ya tigo mana router kuibeba kila sehem mtihani kwakweli
  6. yesamrich

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Anha okyyy asante sana boss, mana wasi wasi wangu ulikua kwenye UNLIMITED YA KWENYE LINE BILA ROUTER sijawahi sikia ndo mara ya kwanza so nikawa na doubts
  7. yesamrich

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna mtu alinishawishi kujiunga unlimited kwenye line ya sim yani bila kuwa na router. Una experience na hyo kitu, risk zake
  8. yesamrich

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    🤣ah wapi ni mwendo wa kuhama halmashaur moja kwenda nyingine Kama una connection ya taasis naomba bas🌚
  9. yesamrich

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Thanks♥️, ndo inakua after 4yrs?
  10. yesamrich

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    hivi qualificafions za TGS E ni zipi?
  11. yesamrich

    Madaraja ya mishahara

    Degree anaweza pata TGS E?
  12. yesamrich

    Mshahara wa mwezi wa nane kitendawili

    😂😂😂😂watu hawalalamiki tena wamesusa
Back
Top Bottom