Recent content by yesamrich

  1. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali!

    Am glad ka uko poa… am all good babes Sorry nimechelewa kujibu
  2. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kama umeuziwa kiwanja kwenye maeneo haya Dar, anza kujipanga

    So mtu afate hatua gani kama anahitaji kiwanja maeneo hayo. Kama serikali ya kijiji nayo si ya kuiamini, tumwamini nani sasa
  3. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Friendship connect (tuunge urafiki) tafadhali!

    Miss u dear, uko poa?
  4. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Wema Sepeta acha usanii: IVF ni nini?

    Sisi wambea ndo tulikua tunafahamu na ushahidi wa picha juu. But walijaribu kuifanya siri/ private
  5. yesamrich

    JamiiForums Tanzania HOJA Changamoto ya mfumo wa e-uhamisho kutotambua ufanano wa kada na taaluma kati ya taasisi za umma

    Moderator mods hii ikiwezekana irushwe hata insta huko
  6. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Watumishi mnaopanda madaraja poleni Kwa kuonewa na mfumo ESS

    Heee kwan mmerudiana kweli nmekua mtoro huku jf🥴
  7. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Watumishi mnaopanda madaraja poleni Kwa kuonewa na mfumo ESS

    Hivi inakuaje umejaza hadi 100 then score inakua chini ya hapo Inasababishwa na nini hiyo
  8. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali iwezeshe Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika Halmashauri zeto. Sio inakuwa Idara ya Mapato ya Leseni na Vibanda tu

    Wizara imetupa meza na viti, nashauri nxt time tupewe na magari ya idara jamani
  9. yesamrich

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Wapendwa katika bwana najua kuna ma IT humu au yoyote ambae anajua hii issue msaada please. Kuna rafiki yangu akipandisha maombi ya kuhama kwenye ESS hayaonekani kwa mkuu wake wa idara, shida inakua nini? Mind you amekidhi vigezo vyote mana ana 5years and abover kwenye working station yake
  10. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yani mtu akiwa na vpn kwa iphone na iko on (say turbo,secure vpn etc) then aseme awashe hotspot kwa vifaa vyake vingine say tv, pc au hata kumhotspot mtu mwingine inakataa
  11. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Yes unaweza badili line yako ya yas kuwa unlimited bt kama uliunganisha postpaid unatakiwa ujiondoe kwanza. NB: line ikiungwa unlimited huwezi pokea calls wala huezi piga wala txt unakua unaitumia kwa data
  12. yesamrich

    JamiiForums Tanzania KERO Kwani mitandao ya simu inalazimisha wateja wao wanunue router ili kupata unlimited internet?

    Chief me naomba kujua why iphone ukiwasha vpn huwezi hotspot Kuna njia ya kubypass?
Back
Top Bottom