Recent content by yenzela

  1. Y

    What went wrong with The Economist?

    Daaa kweli wanachoma kichizi sijui yana akili gani tu.
  2. Y

    Vijana wa UVCCM kataeni kununuliwa kama mifugo

    Daaaa kumbe Mkuu wangu wa Mkoa anakula jicho ?? Tuwekee ushahidi hapa tafadhali.
  3. Y

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Ni m.nge.se kabisa hii ni zaidi ya kero.
  4. Y

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Khabarini wadau muda huu naandika uzi huu kama nusu iliyopita mpaka sasa umeme umekatika.Nachojiuliza ni kuwa mgao wa umeme umerudi nchini ama nini ? na kama umerudi si wautangazie umma wa watanzania waelewe kinachoendelea. Hii wanafanya kama siri kwa manufaa ya nani kwa sababu sisi wananchi...
  5. Y

    Biashara ya dhahabu na madini mengine (Gold and gemstones dealership business in TZ)

    Vipi kuhusu soko lake hapa nchini na bei yake ? Nifafanulie mkuu
  6. Y

    Biashara ya dhahabu na madini mengine (Gold and gemstones dealership business in TZ)

    Na yenyewe ina thamani kwa sasa na soko linaweza patikana ?
  7. Y

    Biashara ya dhahabu na madini mengine (Gold and gemstones dealership business in TZ)

    Wadau mimi kuna sehemu nilienda nikakuta kuna watu wamechimba mawe lakini yale mawe ni ya rangi nyeusi ila kikubwa zaidi yanashikana na sumaku . Je hayo na yenyewe yanaweza kuwa ni aina fulani ya madini ?
  8. Y

    Polepole anamshangaa Nyalandu kuondoka CCM inayofuata itikadi ya Ujamaa purely na kujiunga chama kisicho na itikadi

    Kwa hiyo alipokuwa CCM mlishindwa kuyaibua haya halaf si mna mahakama yenu ya ufisadi na uhujumu uchumi mlishindwa nini kumshitaki. Alipohama ndo mnaanza kutoa hivi vimaneno vyenu kweli nyie hamnazo.
  9. Y

    Ushauri: Uchaguzi wa madiwani ufutwe fedha zitumike kukarabati miundombinu iliyoharibiwa na mvua!

    Si kuna siku jamaa fulan akawa anajisifia pesa sirikalini ipo ya kutosha ? Hayo mawazo ya kufuta uchaguzi yametoka wapi au mnang'ata na kupuliza kupima upepo ?
  10. Y

    Aponea chupuchupu kufa kwa kupiga Punyeto. Mdada apata ulemavu Sababu ya Kujichua

    Mimi huwa mapiga mara moja kila baada ya wiki moja madhara yake yakoje ??
  11. Y

    Mwenyekiti wa CUF Ibarahimu Lipumba (PhD)

    Ndio maana waswahili wakasema "kosa mali usikose akili" hili jamaa ni kati ya watu wapuuzi niliowahi kuwaona she.nji sana hili jamaa.
  12. Y

    Kama umemisi Mfalme wa Taarabu Mzee Yusuph ebu dondosha neno lolote hapa...

    Asee jamaa alikuwa fundi sana sema kuacha taarabu ndo kumeumaliza huo mziki hapa Tz.
Back
Top Bottom