ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,744
Ni ukweli usiopingika kuwa jamaa atakuwa rais wa Zimbabwe
Mimi najiuliza kwa nini jina la utani wanamwita mamba ?
Hasa nikitazama tabia za mamba mfano.
Hula wanyama mpaka mtu ni kitoweo cha mamba
Ana nguvu sana
Hatishwi na awaye yeyote
Huyu jamaa kwa nini wamfananishe na mamba ?
Mimi najiuliza kwa nini jina la utani wanamwita mamba ?
Hasa nikitazama tabia za mamba mfano.
Hula wanyama mpaka mtu ni kitoweo cha mamba
Ana nguvu sana
Hatishwi na awaye yeyote
Huyu jamaa kwa nini wamfananishe na mamba ?